Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Washabiki wako wangependa kujua mbona ulikuwa kimya maana katika makala yako hujajibu swali bali umekanusha tu kwa uliyotabiriwa
Nilikuwa kimya kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu ya harakati za maisha mkuu na kwenye hizo harakati hakukutokea kimojawapo kati ya hivyo wanavyonizushia ndio maana nimetoa ufafanuzi wote hapa
 
Nilikuwa kimya kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu ya harakati za maisha mkuu na kwenye hizo harakati hakukutokea kimojawapo kati ya hivyo wanavyonizushia ndio maana nimetoa ufafanuzi wote hapa
Mwenyeji karudi kwa manjonjo
cfed39202f4998701c57586df987e229.gif


DJ sepetu
 
Mwisho kabisa napenda kutoa RAI kwa baadhi ya watu kuwa, mtafute TAARIFA SAHIHI na sio ' Uzushi au taarifa mbaya zenye lengo la kumdhalilisha/kumchafua mtu aonekane mbaya/muongo/mfitini miongoni mwa wanajamii wanaomzunguka.

fafanua zaidi kwamba nani asizushiwe taarifa zisizo rasmi kwa sababu taarifa zisizo rasmi ndio msingi wa JFs ndio maana members wake wanaitwa wapiga filimbi.

mafisadi hayana rangi

Mkuu nafahamu hivyo ila ninachoweza kukwambia ni kuwa Taarifa hizo sio rasmi kwa kuwa hazina ukweli wowote, ningekuwa nimetekwa au kimenitokea kitu kibaya nisingesita kutoa taarifa rasmi au mngepata hizo taarifa kwa kuwa kuna members najuana nao nje ya JF...
 
Samahani, kwani wewe ni nani? I mean umuhimu wako mpaka ujielezee namna hiyo?
Mimi ni mwanachama wa JF..nilizushiwa taarifa ambazo hazina ukweli wowote na baadhi ya members kwa hiyo nazikanusha
 
Aaah mkuu walikua wanasema nimekuteka eti nimekupelekwa zimbabwe walichanga na rambi rambi ninazo hapa[emoji56]

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
Mhhh Zimbabwe tena?? Hahaha hiyo taarifa niliiona mkuu nikawa nacheka tu.. warudishie rambirambi zao tu
 
Back
Top Bottom