Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #321
Shukrani kiongoziKaribu Mkuu,
Yeah sis, tutakuwa pamoja tenaOky nafurahi kukuona tena humuuu mi nilipokukosa nikawa naona uvivu hata kuingia humu.....
Umerudi hope tutakuwa pamoja
Hapana mkuu hakukufanyi uwe mtu wa system usalama..Hivi kureply wa kwanza kwenye thread kuna kufanya uwe mtu wa usalama?
Walimwengu bhana...!!
Happy to see you back brooh..! [emoji123][emoji123]
Asante sana Mr TKaribu mkuu..
Aaaa weeeau udindishi nini?????????????
kama hivyo tu wewe unavosikia...taarifa za kipelelezi na kiusalama sizijui sanaHuwa unasikia sikia nini Mkuu? Tupeane ' manyuzi ' basi Mwanangu nakuaminia!
PamojaSalute to you bro
Nyagei
Ndio za walimwengu...! Hao kaka poleeHapana mkuu hakukufanyi uwe mtu wa system usalama..
nini hizoAaah wap hazirud [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
hahahahaNaona umeamua kuliamsha dude....[emoji263] [emoji263]
poa aseeh Mkuukweli mkuu si unajua ubusy tu mkuu.
Ila karibu sana tupo pamoja.
Heee...[emoji12] [emoji12]Karibu sana mtani wangu, kweli wewe ni mtu nyeti JF maana si kutafutwa huko!
Hana maaana hiyo comradeHeee...[emoji12] [emoji12]
Makubwa haya, hadi unyeti wake unaujua...[emoji15] [emoji15]
[emoji56] [emoji56] [emoji56] po sana mkuuUkiona hivyo ujue watu wanakupenda mkuu ndo maana sintofahamu ilikuwepo..otherwise karibu sana jukwaani
Shukrani mkuuNdio za walimwengu...! Hao kaka polee
sawasawaBasi sawaa