shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Karbu tena
shushushu VIP
shushushu VIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru ndugu
Huenda ndio hao mkuu watu wanaosema najihusisha nao kitu ambacho sio kweli
Mmmh hayo mambo yao siyafahamu kwa kina kiongozi huwa nasikiasikia tuKwani kuna Wanausalama wengine nchini Tanzania ukiondoa hao tu wenye Kituo chao cha ' Daladala ' hapo pande za ' Migomigo ' Mkuu?
Asante mkuu
Nimefurahi kukuonaNaaam mkuu
Poa nduguKarbu tena
shushushu VIP
Sawa mkuu nimerudiAiseee karibu sana ,, ile nafasi ya kwanza hakuna MTU aloweza kui maintain km wewe mkuu !!!
You are warmly welcome.
Karibu mkuu..Aiseee..
Hivi kureply wa kwanza kwenye thread kuna kufanya uwe mtu wa usalama?Huenda ndio hao mkuu watu wanaosema najihusisha nao kitu ambacho sio kweli
au udindishi nini?????????????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee
Mmmh hayo mambo yao siyafahamu kwa kina kiongozi huwa nasikiasikia tu
Sasa mkuu wewe ndio uko kwenye notification center ya Account yangu ya JF?? Jibu ni hapana... Taarifa ni nyingi mno zimezushwa sikatai ila nimefanya kuzifupisha tu ieleweke nisiwachoshe watu kwa thread ndeefu... Speed yangu ya kusoma naijua mwenyewe kwa hiyo usihofu.....hiyohiyo jana nilizisomaUliwezaje kujua mkuu?
Ule Uzi wa muda sana,na pia comments zipo nyingi na nyingine zipo ndani zaidi kiasi kwamba kama kuna MTU ndio anaanza kufungua huo uzi si rahisi kuziona, lakini nashangaa wewe unazijua na umekuja jana tu na uzushi mwingine wote umeujua haujaauacha hata mmoja ,sasa duh napata ukakasi kidogo.
Haha, enjoy the long weekend chief[emoji331] [emoji332] [emoji445] [emoji443] [emoji444] [emoji442] [emoji441] [emoji441] [emoji441] aah mkuu umenikumbusha Joh makini
Hahaha...msela wako karudiSalute to you bro
Nyagei
Bora amerudi maana alisemwa sana bila evidencesHahaha...msela wako karudi