Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #261
Yeah niliona kwenye ule uzi, ila bado watu hawakuamini kabisa nadhani taarifa zote watazipata hapa kwenye huu uzi sasaIla mie kuhusu "kufariki" mie nilikanusha kwa kuwa yule aliyepata ajali jina lilionesha ni mtu wa Kagera na wewe nakujua ni mtani wangu (mchaga).