kauga Jafar
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 230
- 123
Haya hebu fafanua hapo, alisimamiahaje au nawe umemeza matango poriWajinga ni vigumu kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya hebu fafanua hapo, alisimamiahaje au nawe umemeza matango poriWajinga ni vigumu kuelewa
utasemaje jua halizunguki wakati hakuna binadamu aliyewahi fika jua lilipo wala chombo chochote kilichowahi fika lilipo kuona kama linazunguka au la??Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
mkuu Kuna swali la kizushi umeulizwa hapo juu,binadamu WA kwanza alikuwa nyani?chagua kuamini maandiko au sayansiMkuu... Joshua atalisimamishaje jua wakati jua wakati Dunia ndio inalizunguka Jua? Jua liko pale pale kwa mujibu wa sayansi... Badala yake Dunia ndio inalizunguka jua... Labda wewe upindue maandiko uniambie kuwa Joshua aliisimamisha Dunia...
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Binadamu Wa kwanza alikuwa Nyani au ni yule wa biblia?
Ukijiuliza na hilo...utafuta huu Uzi wako
kwan jua halizunguki jaman mbna tunachanganyana katika space s kla kitu kina zunguka au mm sjui vizur hii elimu ya spce
Mungu ndie anae miliki dunia na jua lipo ktk uweza wake ndio maana Yeye ni zaid ya nguvu za jua.Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati Joshua analisimamisha jua yeye Joshua alikuwa wapi? Kwenye jua au kwenye dunia? Jua liko pale pale halizunguki kwenda kokote labda Joshua aliisimamisha Dunia wala sio jua.
Mwenye uelewa mpana ktk hili anisaidie.
Wewe Ulipata wapi elimu yako?Aliyesema binadamu walikuwa nyani ni mwendawazimu. Aungue na moto huko alipo kwa uongo aliosambaza
Paragraph ya kwanza ipo kisayansi zaidi nitaifatilia mkuu...Jua nalo linazunguka mkuu kwa kasi kubwa sana..haliko stationary kama ulivyoandika. Sayari zote zilizoko kwenye nyota ya jua, na jua lenyewe vivinazunguka kuelekea center ya galaxy yetu..,
Jua linazi-drag sayari zake ikiwemo na yetu linapozunguka..in turn galaxy nayo inazunguka...kwa ufupi hakuna kitu ambacho hakiko kwenye mwendo hapo angani...every object is moving.
Kuhusiana na suala la Joshua na jua na mwezi kusimama hiyo iko kiimani zaidi kwa wale waaminio. Joshua aliomba, Mungu akajibu kwa kusimamisha mzunguko wa matufe hayo siku ikachelewa kuisha hata pale vita vilipomalizika.
Hapa umenishawishi nielekee kuelewaMkuu Mungu alirefusha siku ili mapambano yaendelee! Yawezekana mchana haukutosha Mungu akaona alifanye jua lisizime/alisimamishe... ili vita iendelee kumbuka Yoshua aliendeleza pale alipoishia musa kuelekea nchi ya kaanani.
Absolutely NoThe issue about round (oblate spheroid shape) of the earth is propaganda, assured you that dunia iko flat na hakuna kitu kama tufe sijui mhimili , the issue is elites na wenye nguvu wanapanga namna ya kucontroll dunia
Google au ingia YouTube andika kuhusu flat earth utaona , there is more than 200 reasons to prove that earth is flat , more over tunadanganywa kuwa jua ndio mhimili na sayari hulizunguka jua , hakuna kitu kama hicho , earth is the centre of the universe na vitu vingine vyote huzuka dunia na sio vinginevyo
Soma zaid
Nini kilisimama wakati huo,jua au dunia????rejea mada tafadhaliCorrect