Joshua Nassari Kumwoa Halima Mdee?

kwani Halima Mdee hayupo hapa JF? atuweke wazi basi kwani akiendelea kunyamaza ndio ccm wanapata mwanya wa kumchafua
 
anawadangaja jamani hamtaniwi!!:smile-big:
 
Inaonyesha mapenzi ya Hon Josh yamekuwa hot cake, maana watu wanashobokea mwacheni basi afanye kazi atabemendwa bure!
 
Mhe. Josh atapata wachumba mwaka huu na ndo za uvumi zitakuwa nyingi mpaka atakoma....
 
hilo litayasaidia magazeti ya udaku kama habari leo, jambo leo pamoja na uhuru kuthibitisha kwamba CHADEMA ni chama cha kifamilia. Mtu na mkewe, mtu na dadake, mtu na mkwewe etc. Maana kila siku wanajaribu kutafuta kibaya cha kuandika dhidi ya chadema hawapati, hili likitokea watachonga sana.
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh !!!!!!!!!!
 
Nilikuwepo kweli pale alipotakiwa na WanaCDM Halima Mdee awasalimie WanaCDM waliofurika pale na ndipo akasema akiwafurahisha wanainchi lakini hakuwa na ukweli ktk msemo wake!

Na hata ingekuwa hivyo ingependeza sana kwn ni kila kitu na wakati wake!!
Ingependeza sanaaaaaaaaa!!
 

Huyu anadai alikuwepo na hukusikia hayo

Mie nilikuwepo, mbona sijamsikia akitangaza?
 
Huyu anadai alikuwepo na hukusikia hayo



Labda hakusikia kutokana na shamrashamra nyingi iliyokuwa imetanda anga ile,Ila hakika H. Mdee alifurahisha halaiki ile kwa neno hilo but hakuwa serias!
 
Kwa maelezo yako hakuna kitu kama hicho-kuolewa na Nassari. Kwanini kuzua na kutunga wakati wahusika wapo? Kufurahi na kuolewa mbona ni vitu viwili tofauti na wazi? It is the matter of using just common sense even sense commonly if you cannot use common sense.
 
Labda hakusikia kutokana na shamrashamra nyingi iliyokuwa imetanda anga ile,Ila hakika H. Mdee alifurahisha halaiki ile kwa neno hilo but hakuwa serias!


Basi Habarileo imekuwa ni ya habari za utani. Huwezi amini hii ndio habari kuu Habarileo siku ya leo: HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
 
Mi naona poa tu, au mnataka akaolewe na LucyNde aka kibajaj aka kudadadeki!!!
 

Magazeti ya Tz siyo ya kuamini hata kidogo yamejawa uzushi na fitna ili tu wapate kuuza magazeti yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…