Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,368
Sijui Habarileo wamepata wapi hizo habari.
watakuwa walizipata kwenye ndoto jana usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui Habarileo wamepata wapi hizo habari.
Huyu anadai alikuwepo na hukusikia hayo
Me nilikuwa pale na nilikuwako katika kila mkutano wa Kampeni. Asemayo Liverpool ni kweli. Mkusanyiko uling'ang'ania Halima azungumze. Aliposhika MIC alisema, "tuachieni sisi tuyazungumze kiutu uzima, tukikuballiana Chama kina wachungaji" na lengo hasa ni kuwafurahisha tulokuwa pale tukinyeshewa mvua huku tuki-shout shemeji shemeji.
NIWAZaVYO: ni jambo jema likitendeka. Ila mahazeti acheni kukuza mambo.
kwani halima mdee hayupo hapa jf? Atuweke wazi basi kwani akiendelea kunyamaza ndio ccm wanapata mwanya wa kumchafua
siliamini hili gazeti..........................ni la kimagamba
Hatutaki Nassari ahamie Kawe. Wananchi wa Arumeru walimchagua ili awatumikie kwa ukaribu zaidi