Joti ni mwigizaji mzuri lakini naona uvaaji wa magauni na mawigi aangalie mandhali,kama hii ya tigo na gauni haipendezi, niliipenda ile akiwa kwenye pulpit anatangaza wakulipee! Lakini hii ya kuvaa vaa magauni everytime si wanaume wengine haitufuraishi labda kwenye maigizo.
Sasa si anaigiza au wewe unafikiri ni kweli kawa mwanamke{
Magauni ndio yanayomfanya aishi vizuri mjini, muacha avae ilimradi yupo kazini.
Kwenye the comedy ni maigizo lakini tigo ni tangazo linatakiwa kuwa na maadili yake bwana, kwa sababu linapaswa kuvuka mipaka ya taifa ,mila na desturi
Joti ni mwigizaji mzuri lakini naona uvaaji wa magauni na mawigi aangalie mandhali,kama hii ya tigo na gauni haipendezi, niliipenda ile akiwa kwenye pulpit anatangaza wakulipee! Lakini hii ya kuvaa vaa magauni everytime si wanaume wengine haitufuraishi labda kwenye maigizo.
anatangaza ushoga
anatangaza ushoga
Mmmh !! hashakum Sasa kesho akiambiwa atembee mtupu (ushii) atakuwa kazini..........??!! "kumradhi"
msiwe wenye kupenda pesa.
hakuna creativity halaf tangazo lenyewe halichekesh.
Hadija Kopa pale angefaa sanaMimi sina tatizo na gauni alilovaa (dera), ila kwa ujumla tangazo hili si zuri na sikulipenda mara ya kwanza tu nilivyoliona, sauti yake mbaya, anavyocheka kama amelazimishwa, yaani kwa ujumla halikutengenezwa kwa kiwango. Tigo waache ukiritimba wawape wanawake matangazo yanayohusisha wanawake.