Joti ni mwigizaji mzuri lakini naona uvaaji wa magauni na mawigi aangalie mandhali,kama hii ya tigo na gauni haipendezi, niliipenda ile akiwa kwenye pulpit anatangaza wakulipee! Lakini hii ya kuvaa vaa magauni everytime si wanaume wengine haitufuraishi labda kwenye maigizo.
Sasa si anaigiza au wewe unafikiri ni kweli kawa mwanamke{