Joti aangalie maeneo ya kuvaa magauni

Joti aangalie maeneo ya kuvaa magauni

kuvaa uhusika wa mwanamke ni hela nyingine tofauti na mkataba
 
familia yake inamtegemea kupitia kazi hyo hicho no kipaji na hajaanzia kwenye hilo tangazo
 
siku hizi aliishaona ndio sifa kuvaa magauno mpaka inaboa....
mi huwa nachukizwa sana na huo uvaaji wake
Mi huchefukwa haswa!na nilipata shida sana kumuelezea kwa my 4yrs old princess aliponiuliza mbona yule mama na yule baba wanafanana?
 
Mi huchefukwa haswa!na nilipata shida sana kumuelezea kwa my 4yrs old princess aliponiuliza mbona yule mama na yule baba wanafanana?

haha pole sana mkuu kwa swali la little princes...
huyu jamaa asipoangalia atajikuta hata tabia za kike zinamtawala... ushoga unamnyemelea kabisaaa... hii sio kawaida hata kama ni kuigiza amepitiliza.
 
anatangaza ushoga

Mkuu money stunna respect kwa kutujuza wanajamii kuhusu joti..kweli anatangaza ushoga kwa level ya juu kabisa na anaharibu watoto wetu sana pasipo sisi wazazi kuelewa.kwamba anawaambia wananchi ni suala la kawaida sana kwa mwanamume kuvaa nguo za mwanamke au kujifanya mwanamke..sisi tunafurahi na kucheka pamoja na watoto wetu pasipo kujua madhara ya yanayotokea kwenye ubongo wetu..kwa mwenye uelewa wa concious na subconcious mind ataelewa ninichokiongea.be blessed!
 
Joti ni mwigizaji mzuri lakini naona uvaaji wa magauni na mawigi aangalie mandhali,kama hii ya tigo na gauni haipendezi, niliipenda ile akiwa kwenye pulpit anatangaza wakulipee! Lakini hii ya kuvaa vaa magauni everytime si wanaume wengine haitufuraishi labda kwenye maigizo.

mi naona wanakuwa wanaubaliki ushoga.kwann wasiwaachie watoto wa kike hayo magaun
 
Back
Top Bottom