Joti, "Awawezi kutushusha labda watoke na roho zetu mimi na Diamond "

Joti, "Awawezi kutushusha labda watoke na roho zetu mimi na Diamond "

View attachment 725986

Akiunga mkono kauli aliyotoa Diamond wakati anahojiwa na TimesFm.... Joti nae ameunga mkono msimamo wa Diamond wa kutokubali kubuluzwa na media.

Diamond kwa kujiamini alisema wakati wa kuwa watumwa wa media umepitwa na wakati na haitokaa itokee apotezwe na media.

Kwa taarifa tu ni kwamba media zilizofungia content za Diamond ndio pia zimefungia content za Joti kwa muda mrefu.
Kweli mkuu
 
Hivi unaelewa unaandika nini au ni katika ile hali ya ubishi usio na tija? Sijakuambia ama kuandika popote pale kuwa wimbo wa msanii fulani umefungiwa Marekani, nilichosema ni kwamba nyimbo za matusi za wasanii wa Marekani hazipigwi redioni huko Marekani bila kuwa edited ila hapa Bongo zinapigwa hivyo hivyo huku dj na mtangazaji wanachekelea. Kumbuka kuwa wasanii wa Marekani wanapotoa wimbo ama nyimbo katika CD zao kuna zile radio version ambazo zimechujwa kuendana na maadili na Club version za matusi ambazo hazipigwi redioni ila hapa Bongo tunazipiga wakati wamarekani wenyewe hawazipigi, sasa kama huu si ujinga ni nini?
Braza daah mbona jibu refu hivi ??! Eti [emoji124] [emoji109] nimeshindwa kusoma bwana
 
Back
Top Bottom