Joti kawachapa fimbo Moja tu, Twitter hakukaliki

Joti kawachapa fimbo Moja tu, Twitter hakukaliki

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ujumbe mdogo tu wa Joti umewatoa nyoka wote pangoni. Nimewaona wanavyompopoa Huko twita, huyo ni Joti tu CCM ni dude kubwa sana, Ufipa yote inapambana na Joti.

Sasa huyo ni Joti vipi CCM wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua, muanze kusingizia mmetekwa? Kwanini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni?

Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma Joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi!

===
Alichokiandika Joti kwenye ukurasa wake wa Twitter

"Nataka siku nifanye skit ya kinyade sana jinsi katiba inaweza kushusha bei ya msosi n.k. ila nipeni ideas kwenda jotitvtz@gmail.com. Idea freshi ambayo nitaitumia nitaitaja hapa & Insta na nitamlipa aliyeitoa (Jiwe mbili safi). Iwe simpo mtu mwenye kichwa kizito kuelewa. Peji 1."
 
Amesemaje Joti mutu murefu? Weka sikirinishoti yake huko twita.
 
Joti ameamua kukimbia amevaa deraaaaaa msikitini[emoji38][emoji38][emoji38]
Screenshot_2023-02-03-19-38-56-461_com.twitter.android.jpg
 
Ujumbe mdogo TU wa joti umewatoa nyoka wote pangoni .nimewaona wanavyompopoa Huko twita ,huyo ni joti TU ccm ni dude kubwa sana, ufipa yote inapambana na joti . Sasa huyo ni joti vipi ccm wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua ,muanze kusingizia mmetekwa ?? Kwa Nini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni? Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi,,!
CCM ni genge la wapuuzi
 
Ujumbe mdogo TU wa joti umewatoa nyoka wote pangoni .nimewaona wanavyompopoa Huko twita ,huyo ni joti TU ccm ni dude kubwa sana, ufipa yote inapambana na joti . Sasa huyo ni joti vipi ccm wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua ,muanze kusingizia mmetekwa ?? Kwa Nini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni? Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi,,!
Kaeleza nini?Unapoanzisha uzi ni vema ukajikita kwenye kuuweka uzi wazi.Siyo uwe kama unatembea unaongea peke yako barabarani.
 
Ujumbe mdogo TU wa joti umewatoa nyoka wote pangoni .nimewaona wanavyompopoa Huko twita ,huyo ni joti TU ccm ni dude kubwa sana, ufipa yote inapambana na joti . Sasa huyo ni joti vipi ccm wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua ,muanze kusingizia mmetekwa ?? Kwa Nini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni? Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi,,!

..hoja ya Katiba Mpya haipaswi kujibiwa na comedians.

..hii sio hoja ya kujibiwa na Masanja Mkandamizaji, Joti, Steve Nyerere, au watu wa aina hiyo.

..Suala la Katiba Mpya lijibiwe na miamba ya sheria na katiba ndani ya Ccm kama Prof.Kabudi, Prof.Mwakyembe, Andrew Chenge, na wengine wa kaliba hiyo.
 
..hoja ya Katiba Mpya haipaswi kujibiwa na comedians.

..hii sio hoja ya kujibiwa na Masanja Mkandamizaji, Joti, Steve Nyerere, au watu wa aina hiyo.

..Suala la Katiba Mpya lijibiwe na miamba ya sheria na katiba ndani ya Ccm kama Prof.Kabudi, Prof.Mwakyembe, Andrew Chenge, na wengine wa kaliba hiyo.
Comedians ndiyo role models wake!
 
Back
Top Bottom