dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ungejikita kuuboresha uzi wako badala ya kukaza shingo kujibujibu yasiyohusu uzi.Bora wapuuzi kuliko wapumbavu
Katiba haiwezi kufanya chochote ikiwa nyinyi mnategemea katiba TU kazi mnayo !!! Fanyeni kazi wenzenu wanapiga kelele kuhusu katiba lakini mwisho wa mwezi wanapeana posho za kupayuka nyie mnashinda mnapayuka lakini wanaonufaika na makeleke yenu ni Mr djElimu ya joti ni ndogo Sana [emoji38] hpn kwa kweli nimeona Twitter yake ila sikubaliani nae anapazwa kupewa elimu juu ya nn katiba itafanya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siku nyingine uwe unatulia, kufikiria, kukusanya data na kujiandaa na wana JF. Siyo unaanzisha usiyoyaweza. Utachanganyikiwa na kutoka umejikasirisha.Katiba haiwezi kufanya chochote ikiwa nyinyi mnategemea katiba TU kazi mnayo !!! Fanyeni kazi wenzenu wanapiga kelele kuhusu katiba lakini mwisho wa mwezi wanapeana posho za kupayuka nyie mnashinda mnapayuka lakini wanaonufaika na makeleke yenu ni Mr dj
Anadhani sisi sote tuko twitter tunamfuata huyo joti wakeJoti amezungumzia nini huko Twitter? Toa muhtasari wake
Comedian ni kazi kama kazi zingine na Wana haki ya kutoa mchango wao kwenye taifa letu ,mbona nyinyi mwenyekiti wenu ni dj mstaafu au ?
Siasa ndiyo maisha uyaonayo. Labda unaona nimekuzidi tu huo umalaya. Weye bado kamalaya kanakojifunza. Welcome to the world!Unaomekana wewe ni Malaya wa siasa na Hauna kazi nyingine zaidi ya siasa
Ubishi haukusaidii!Usinipangie Cha kufanya hunipi posho wewe kuku wa ufipa
Tumia kipumi kuwaza halafu uje tena na uzi wa kijinga kama uliouleta.ππππππππUelewa wako ni mdogo na unafikiria kwa kutumia upande Moja wa ubongo
Unataka twende Twitter kuona???Ujumbe mdogo TU wa joti umewatoa nyoka wote pangoni .nimewaona wanavyompopoa Huko twita ,huyo ni joti TU ccm ni dude kubwa sana, ufipa yote inapambana na joti . Sasa huyo ni joti vipi ccm wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua ,muanze kusingizia mmetekwa ?? Kwa Nini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni? Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi,,!
Hizi akili za kudharau wasiosoma na kuona waliosoma degree za wazungu madarasani ndio wenye akili na peke yao ndio wanaweza kuzungumzia katiba, nafikiri wewe ni mpuuzi kuliko hao comedians unaowadharau, huyo Joti ni comedian mzuri sana na amefanikiwa kwa kutumia akili yake na nina uhakika ana pesa halali nyingi kuliko hao maprofesa wezi kama chenge, inawezekana alikulia kwenye umaskini ndio maana hakupata bahati kwenda shule ila kwa mafanikio yake anaonekana ana akili sana..hoja ya Katiba Mpya haipaswi kujibiwa na comedians.
..hii sio hoja ya kujibiwa na Masanja Mkandamizaji, Joti, Steve Nyerere, au watu wa aina hiyo.
..Suala la Katiba Mpya lijibiwe na miamba ya sheria na katiba ndani ya Ccm kama Prof.Kabudi, Prof.Mwakyembe, Andrew Chenge, na wengine wa kaliba hiyo.
Mleta mada katoroka Mirembe sio bure. Akieleweshwa anatukana. Dish limeyumba totally!. Angalia anavyoendelea...Kaeleza nini?Unapoanzisha uzi ni vema ukajikita kwenye kuuweka uzi wazi.Siyo uwe kama unatembea unaongea peke yako barabarani.
Hizi akili za kudharau wasiosoma na kuona waliosoma degree za wazungu madarasani ndio wenye akili na peke yao ndio wanaweza kuzungumzia katiba, nafikiri wewe ni mpuuzi kuliko hao comedians unaowadharau, huyo Joti ni comedian mzuri sana na amefanikiwa kwa kutumia akili yake na nina uhakika ana pesa halali nyingi kuliko hao maprofesa wezi kama chenge, inawezekana alikulia kwenye umaskini ndio maana hakupata bahati kwenda shule ila kwa mafanikio yake anaonekana ana akili sana
nakusalimia kwa jina la jamhuri, unataka matokeo yake ukikuta amefeli utampa mtaj?Leta kwanza index number yako nikakuangalizie matokeo