Jamani mbona sijawahi kumsikia Joti akitajwa kuwa na msichana au mke?
Huwa namuona akiigiza kama mdada, na pia nasikia watoto wa mjini walisha wahi kumla kiboga.
Jamani Joti, si bora utafute lidada limoja utulie nalo?
Nakupongeza nasikia umejenga huko Kigamboni, ila nyumba bila mwanamke ni ghetto.