Uchaguzi 2020 Joto la Kampeni leo limeshuka chini mno

Uchaguzi 2020 Joto la Kampeni leo limeshuka chini mno

JamiiForums1323532925.jpg
 
Mgombea wa Urais kupitia CCM Mpya alipoonyesha umahiri wa kupiga tumba
 
Ule msisimko wa kampeni nzima za uchaguzi kwa kinyang'anyiro cha nafasi nyeti ya ofisi ya Rais leo haukuwepo kabisa, si tu katika mitandao maarufu ya kijamii, bali pia kutoka katika vyombo makini vya habari hapa nchini. Hii yote ni kwa sababu yule Rais Mtarajiwa, "the game changer" hakuwa na ratiba ya kufanya kampeni.

Tumeona makada wote maarufu wa chama chakavu, wakijigawanya kimkakati nchi nzima ili kuweza kujaribu kupambana na hoja kinzani. Tunawashuhudia Jakaya, Pinda, Samia, Majaliwa na makada wengine wakihangaika na kuishiwa pumzi mapema huku hawajui nini kitakuwa hatima ya maisha yao ya kisiasa.

Wakati Tundu mwana wa Lissu, yupo bado "very compromised" katika hatua za awali za siasa za kimkakati za kanda. Amefanya tathimini ya yale yaliyojili huku akiwa anaongoza kwa 65% huku akimwacha kwa mbali mgombea wa CCM akiwa na 30%, huku vyama vingine vikiambulia 5% tu.

Kwa upande wa Zanzibar, upepo umetokea wa ghafla na nyeti za mtetea CCM zipo hadharani. Siri za JMT zimewekwa hadharani na koti la Tanganyika waliovishwa Wazanzibari limeoneka si lolote bali ni ukoloni kama ulivyo mwingine wowote ule.

Sasa, sasa (kwa mnukuu Rais Mtarajiwa), uchaguzi huu wa mwaka 2020 ni tofauti kabisa kuliko chaguzi nyingine zote zilizotangulia. CCM imebananishwa kote Tanzania Bara na Visiwani. Wapigakura wawachague viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia, ukishindikana haki itatafutwa kwa nguvu za umma, kwa kujitokeza kupinga dhuluma barabarani.
Nenda kasome na kujua maisha ya nyumbu yakoje porini,ujue kwann Kuna wanachama wa chama Cha mafisadi kwa Sasa kwa nn wanaitwa nyumbu.
 
Ok,nina jini langu nalifuga linaitwa makata,kesho asubuhi ukiamka jikague kwenye makalio,huwa sibishani kwa maneno bali nabishana kwa vitendo.
labda usilale leo ila ukipitiwa na isingizi tu umekwisha.
Pumbafuu
 
CCM wenyewe wanakwambia hawafanyia kampeni wanasherehekea mafanikio na kuwahimiza wanachama wao wakapige kura wasije ridhika kwamba wameshashinda wakajisahau wasiende kupiga Kura.
Wako wanaendelea na Sherehe Za ushindi ni mwendo wa burudani tu na hutuba Za kukumbushana kupiga Kura.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Hapa tunazungumzia uhakika wa 65% sasa sijui wewe hiyo 64% unaitoa wapi. Kampeni za kisayansi hazifanywi kwa kuwatumia wasanii na watoto wa shule za msingi, bali ni kwa kujenga hoja imara zenye mashiko kwa Watanzania.
Nimecheka kisha nikaona nisikujibu tu 64 kwa 30? Haya bhana ngoja niendelee kipiga faru john ili muda ufike wa kulala.
 
Full matamasha hakuna kinachojadiliwa kilichotekelezwa kikatimia na yajayo toka CCM Mpya

Upinzani kuchukua nchi mnakazi sana, hivi hamjui ccm inapotumia wasanii wananchi wengi wanajitokeza na hivyo wanashawishiwa kwa kile kinachoelezwa. Bakini kusema matamasha huku wenzenu wanatumia mbinu hiyo kuwafikia walio wengi
 
Kawakalisha wapumbavu tu. Unadhani kwanini anahofia Tume huru na kura kuhesabiwa hadharani kama kweli anajiamini kupata ushindi halali kwa aliyoyafanya tangu 2015!?


Magufui kwenye ring asimami na mtu dk 10,amewskalisha mapema sana.
 
Kawakalisha wapumbavu tu. Unadhani kwanini anahofia Tume huru na kura kuhesabiwa hadharani kama kweli anajiamini kupata ushindi halali kwa aliyoyafanya tangu 2015!?
Uhalali upo kwa Mungu tu,duniani hapa akuna uhalali.
 
Ule msisimko wa kampeni nzima za uchaguzi kwa kinyang'anyiro cha nafasi nyeti ya ofisi ya Rais leo haukuwepo kabisa, si tu katika mitandao maarufu ya kijamii, bali pia kutoka katika vyombo makini vya habari hapa nchini. Hii yote ni kwa sababu yule Rais Mtarajiwa, "the game changer" hakuwa na ratiba ya kufanya kampeni.

Tumeona makada wote maarufu wa chama chakavu, wakijigawanya kimkakati nchi nzima ili kuweza kujaribu kupambana na hoja kinzani. Tunawashuhudia Jakaya, Pinda, Samia, Majaliwa na makada wengine wakihangaika na kuishiwa pumzi mapema huku hawajui nini kitakuwa hatima ya maisha yao ya kisiasa.

Wakati Tundu mwana wa Lissu, yupo bado "very compromised" katika hatua za awali za siasa za kimkakati za kanda. Amefanya tathimini ya yale yaliyojili huku akiwa anaongoza kwa 65% huku akimwacha kwa mbali mgombea wa CCM akiwa na 30%, huku vyama vingine vikiambulia 5% tu.

Kwa upande wa Zanzibar, upepo umetokea wa ghafla na nyeti za mtetea CCM zipo hadharani. Siri za JMT zimewekwa hadharani na koti la Tanganyika waliovishwa Wazanzibari limeoneka si lolote bali ni ukoloni kama ulivyo mwingine wowote ule.

Sasa, sasa (kwa mnukuu Rais Mtarajiwa), uchaguzi huu wa mwaka 2020 ni tofauti kabisa kuliko chaguzi nyingine zote zilizotangulia. CCM imebananishwa kote Tanzania Bara na Visiwani. Wapigakura wawachague viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia, ukishindikana haki itatafutwa kwa nguvu za umma, kwa kujitokeza kupinga dhuluma barabarani.
Pumzi ya saccos imekwisha sababu sio chaguo la wenye chama, na zaidi ulopokaji wake wakuongea mambo ya Nyerere na muungano ambao sio shida kuu ya wa tz , imempunguzia credibility yake kama kiongozi wa nchi na kuonekana anakofaa ni kazi ya "uharakati" hata DJ aka darasa la 7 la zamani anamshinda kwa busara .
Kama Muungano una Mapungufu na yeye ni kiongozi ni ku spearhead reforms ambazo utaufanya huo muungano kuwa robust kwani umoja ni nguvu utengano ni uzaifu, lakini ukiona mtu anashindwa jambo hilo , basi akili yake itakuwa inaulakini
 
Acheni kubebanisha maneno nyie, tayari yule ndugu yenu raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Tanzania keshaonesha kwamba hali ni ngumu maji yamefika shingoni na pumzi imekata kwa upande wake
 
Back
Top Bottom