Uchaguzi 2020 Joto la Kampeni leo limeshuka chini mno

Uchaguzi 2020 Joto la Kampeni leo limeshuka chini mno

Kuna wakati niliwaza VICHAA huwa wapo mitaani tu KUMBE hata mitandaooni Kuna VICHAA haha uandishi Wa kiwendawazimu huu
 
CCM Mpya hawana sera wala hawaongelei sera wao ni full fiesta matamasha ya muziki, inaonekana CCM Mpya wanawafanyia mzaha waTanzania kwa kutozungumzia mustakabali wa Maendeleo ya Watu n.k mfano leo gumzo siyo sera bali vumbi lilivyotimka kwa ngoma za wasanii ktk kampeni za mgombea ubunge kupitia CCM ktk jimbo la Mbeya Mjini

September 9, 2020
Mbeya, Tanzania

Dr. Tulia : Avunja rekodi uwanja wa Ruanda Nzovwe Mbeya mjini, Tanzania

Neno kuu ni hili;
CCM 2020 NI YA MIZAHA TUU
 
Miaka mingine mitano kwa JPM, that's it, hutaki kunywa dawa uzime!! 28th Oct. tunamaliza tu.
 
Upinzani kuchukua nchi mnakazi sana, hivi hamjui ccm inapotumia wasanii wananchi wengi wanajitokeza na hivyo wanashawishiwa kwa kile kinachoelezwa. Bakini kusema matamasha huku wenzenu wanatumia mbinu hiyo kuwafikia walio wengi
Kwa hiyo wananchi wengi ni wajinga? Kwamba wanakogwa na matamasha sio hoja?
Jee hayo ndio mafanikio ya CCM kuendekeza ujinga katika nchi ili kusomba kura?
 
Pumzi ya saccos imekwisha sababu sio chaguo la wenye chama, na zaidi ulopokaji wake wakuongea mambo ya Nyerere na muungano ambao sio shida kuu ya wa tz , imempunguzia credibility yake kama kiongozi wa nchi na kuonekana anakofaa ni kazi ya "uharakati" hata DJ aka darasa la 7 la zamani anamshinda kwa busara .
Kama Muungano una Mapungufu na yeye ni kiongozi ni ku spearhead reforms ambazo utaufanya huo muungano kuwa robust kwani umoja ni nguvu utengano ni uzaifu, lakini ukiona mtu anashindwa jambo hilo , basi akili yake itakuwa inaulakini
Haikosi wewe una umri wa miaka 75 na kuendelea. Kama sivyo basi una akili mgando kiasi unashindwa kuelewa kuwa mbinu ya Lissu ni kujenga muungano wa kisasa wenye makubaliano ya hiari na kisheria pia kuleta maendeleo.
Huu muungano ni wa upande mmoja, usio tija, maelewano wala maendeleo hivyo ni kama ndoa ya lazima
 
.
coollogo_com-186453098.jpg
 
Haikosi wewe una umri wa miaka 75 na kuendelea. Kama sivyo basi una akili mgando kiasi unashindwa kuelewa kuwa mbinu ya Lissu ni kujenga muungano wa kisasa wenye makubaliano ya hiari na kisheria pia kuleta maendeleo.
Huu muungano ni wa upande mmoja, usio tija, maelewano wala maendeleo hivyo ni kama ndoa ya lazima
Then unatakiwa kuongea hivyo ukiwa in the driving seat not as a passenger , unless akili yako ni kama ya Anti.
U can imagine a passenger in a daladala wants to take over a daladala from the driver.
Na ukizungumzia umri unaonyesha wewe ni mtoto ndio maana unawaza vitu hivyo vinaweza kuwa dealt kitoto kwa hadithi za kitoto, UK on in particular David Cameron alifikiri suala la EU anaweza ku deal nalo kitoto, matokeo yake tunaona Leo mpaka wanataka kuvunja sheria ili kulifanikisha, unless wewe hufuatili mambo hivyo fikra zako ni hizo hizo za kitoto, u can think beyond the four walls surrounding U .

1am Brexit latest – Irish PM calls Boris Johnson about deal concerns as PM defends 'illegal' divorce bill change – LIVE
16 hours ago · Follow our Brexit live blog for all the latest news and updates… Joseph Gamp 's avatar Joseph Gamp 42 minutes
 
Then unatakiwa kuongea hivyo ukiwa in the driving seat not as a passenger , unless akili yako ni kama ya Anti.
U can imagine a passenger in a daladala wants to take over a daladala from the driver.
Na ukizungumzia umri unaonyesha wewe ni mtoto ndio maana unawaza vitu hivyo vinaweza kuwa dealt kitoto kwa hadithi za kitoto, UK on in particular David Cameron alifikiri suala la EU anaweza ku deal nalo kitoto, matokeo yake tunaona Leo mpaka wanataka kuvunja sheria ili kulifanikisha, unless wewe hufuatili mambo hivyo fikra zako ni hizo hizo za kitoto, u can think beyond the four walls surrounding U .

1am Brexit latest – Irish PM calls Boris Johnson about deal concerns as PM defends 'illegal' divorce bill change – LIVE
16 hours ago · Follow our Brexit live blog for all the latest news and updates… Joseph Gamp 's avatar Joseph Gamp 42 minutes
Ni ujinga kuchukulia suala la UK na EU, maana in kitu tofauti kabisa na ya Tanganyika na Zanzibar.
Umoja wa EU ungeulinganisha na mambo ya East African Community au SADC ambayo ndiyo yangefanana kama TZ tungekuwa katika harakati za kujitoa.
Umeisoma historia ya Ethiopia na kuzaliwa kwa Eritrea? Soma kwanza hilo kisha njoo tujadiliane sababu zilizoishia kuleta mataifa hayo kuwa na vita kubwa wakati ule
 
Hapa tunazungumzia uhakika wa 65% sasa sijui wewe hiyo 64% unaitoa wapi. Kampeni za kisayansi hazifanywi kwa kuwatumia wasanii na watoto wa shule za msingi, bali ni kwa kujenga hoja imara zenye mashiko kwa Watanzania.
Pole sana
 
Ni ujinga kuchukulia suala la UK na EU, maana in kitu tofauti kabisa na ya Tanganyika na Zanzibar.
Umoja wa EU ungeulinganisha na mambo ya East African Community au SADC ambayo ndiyo yangefanana kama TZ tungekuwa katika harakati za kujitoa.
Umeisoma historia ya Ethiopia na kuzaliwa kwa Eritrea? Soma kwanza hilo kisha njoo tujadiliane sababu zilizoishia kuleta mataifa hayo kuwa na vita kubwa wakati ule
Kama unasoma vizuri nilishatoa ya muungano wa USA na wa UK
Kama hukusoma narudia kwa ufupi
UK kuna waziri mkuu wa UK ambaye pia ni wa England na kuna Bunge la UK Kama ilivyo kwa Tz na kiongozi wa Tz Bara, na mabunge mengine ya Wales, Ireland na Scotland kama lilivyo la ZNZ na viongozi wao kama ilivyo kwa ZnZ .
Na kumekuwa na tamaa ya Scotland kutaka kujitenga, na issue ya north Ireland kuwa na changamoto kutokana na Brexit agreement na mambo ya peace agreement ya north Ireland.
Lakini hatusiki Anti yao akipiga kelele juu ya Muungano huo , maana ukitetea au kushadadia vitu hivi kila siku itakuwa kupiga kura Leo wa Zzz, Kesho wa Bara, keshokutwa "wanyaturu", mara kaingia madarakani Chakaza , na kuna manunguniko ya watu fulani au yeye Chakaza hapendi kitu fulani basi naye anatupeleka kwenye uchaguzi wa Muungano gani tunapenda wa mkataba etc etc .
 
Ule msisimko wa kampeni nzima za uchaguzi kwa kinyang'anyiro cha nafasi nyeti ya ofisi ya Rais leo haukuwepo kabisa, si tu katika mitandao maarufu ya kijamii, bali pia kutoka katika vyombo makini vya habari hapa nchini. Hii yote ni kwa sababu yule Rais Mtarajiwa, "the game changer" hakuwa na ratiba ya kufanya kampeni.

Tumeona makada wote maarufu wa chama chakavu, wakijigawanya kimkakati nchi nzima ili kuweza kujaribu kupambana na hoja kinzani. Tunawashuhudia Jakaya, Pinda, Samia, Majaliwa na makada wengine wakihangaika na kuishiwa pumzi mapema huku hawajui nini kitakuwa hatima ya maisha yao ya kisiasa.

Wakati Tundu mwana wa Lissu, yupo bado "very compromised" katika hatua za awali za siasa za kimkakati za kanda. Amefanya tathimini ya yale yaliyojili huku akiwa anaongoza kwa 65% huku akimwacha kwa mbali mgombea wa CCM akiwa na 30%, huku vyama vingine vikiambulia 5% tu.

Kwa upande wa Zanzibar, upepo umetokea wa ghafla na nyeti za mtetea CCM zipo hadharani. Siri za JMT zimewekwa hadharani na koti la Tanganyika waliovishwa Wazanzibari limeoneka si lolote bali ni ukoloni kama ulivyo mwingine wowote ule.

Sasa, sasa (kwa mnukuu Rais Mtarajiwa), uchaguzi huu wa mwaka 2020 ni tofauti kabisa kuliko chaguzi nyingine zote zilizotangulia. CCM imebananishwa kote Tanzania Bara na Visiwani. Wapigakura wawachague viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia, ukishindikana haki itatafutwa kwa nguvu za umma, kwa kujitokeza kupinga dhuluma barabarani.
NYUMBU KATIKA UBORA WAKE.
 
Kwa hiyo wananchi wengi ni wajinga? Kwamba wanakogwa na matamasha sio hoja?
Jee hayo ndio mafanikio ya CCM kuendekeza ujinga katika nchi ili kusomba kura?
Msanii yeyote anayepanda jukwaani kauli ni moja tu kura katika Magufuli 28 na yeye anapigania kampeni
 
Kama unasoma vizuri nilishatoa ya muungano wa USA na wa UK
Kama hukusoma narudia kwa ufupi
UK kuna waziri mkuu wa UK ambaye pia ni wa England na kuna Bunge la UK Kama ilivyo kwa Tz na kiongozi wa Tz Bara, na mabunge mengine ya Wales, Ireland na Scotland kama lilivyo la ZNZ na viongozi wao kama ilivyo kwa ZnZ .
Na kumekuwa na tamaa ya Scotland kutaka kujitenga, na issue ya north Ireland kuwa na changamoto kutokana na Brexit agreement na mambo ya peace agreement ya north Ireland.
Lakini hatusiki Anti yao akipiga kelele juu ya Muungano huo , maana ukitetea au kushadadia vitu hivi kila siku itakuwa kupiga kura Leo wa Zzz, Kesho wa Bara, keshokutwa "wanyaturu", mara kaingia madarakani Chakaza , na kuna manunguniko ya watu fulani au yeye Chakaza hapendi kitu fulani basi naye anatupeleka kwenye uchaguzi wa Muungano gani tunapenda wa mkataba etc etc .
Uko vizuri katika jambo hili tatizo unalijadili kiushabiki wa chama sio kimantiki na kiuhalisia.
Pia hapa sio mahala pake, anzisha mada mahususi kuhusu jambo hili kiupekee na hapo utapata michango mizuri zaidi na yenye tija kwa wengine.
Ila utakapo ianzisha usisahau kuweka rejea ya huyu Profesa ambaye ndiye mshauri mkuu wa mambo karibu yote kwa Rais wetu wa sasa.

 
M
Uko vizuri katika jambo hili tatizo unalijadili kiushabiki wa chama sio kimantiki na kiuhalisia.
Pia hapa sio mahala pake, anzisha mada mahususi kuhusu jambo hili kiupekee na hapo utapata michango mizuri zaidi na yenye tija kwa wengine.
Ila utakapo ianzisha usisahau kuweka rejea ya huyu Profesa ambaye ndiye mshauri mkuu wa mambo karibu yote kwa Rais wetu wa sasa.

View attachment 1564933
Asante Mimi nita m refer Anti ni role model wangu na ndio namuelewa kwa urahisi saana , hutu Prof wa jalalani lugha yake ngumu kidogo kwangu.
 
Back
Top Bottom