Miaka ya myuma mwezi huu haukupaswa kuwa na joto
Basi kutakuwa na "kimbunga" cha mvua! Tujipange.Habari wadau.
Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.
Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;
1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi
Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Kinondoni Moscow...! Kule chini! Mbu Sasa!!!Ila hili joto linategemea na ww unakaa wapi.. kuna sehemu huku hakuna joto kabisa na ni Dar hii hii..
Nimeishi Nzega miaka 6, sikuwahi kuona temperature ya 38°C labda Kuna Nzega nyingine tofauti na hiyo nayo ijua Mimi, halafu pia joto likiongezeka automatically relative humidity nayo inaongezeka, labda pawepo na fizikia nyingine lakini sio tuliyofundishwa mashuleni.Kuna ishu ya relative humidity mkuu..Kwa miji ya Pwani kunakuwa na relative humidity kubwa ambayo inazuia mzunguko wa hewa, kwahiyo 35 ya Dar inaweza kuwa sawa na 45 ya Kartoum. Nzega pia huwa wanafikia hii temperature ya 38•C but siyo ishu sana coz kwao wana low RHM.
Mkuu wapi huko?Ila hili joto linategemea na ww unakaa wapi.. kuna sehemu huku hakuna joto kabisa na ni Dar hii hii..
Dogo hajui haya mamboWakati hata akisoma kwenye unit ya nje imeandikwa unit inazotumia mfano BTU 18 inameza 2.34units
Vyumba vitatu AC tatu, sebulen feni tatu plus friji. Nyumba niliyotoka nilikuwa natumia unit 3 tu kwa siku.
Ukiamua kubisha bisha tu ni haki yako
na leo ni mvua tu inanyeshaJoto ni sehemu ya kuandaa mvua
Wewe utakuwa mgeni Dar. Miaka yote joto Dar linakuwa kuanzia December hadi March wiki ya 2 au ya 3 kabla ya mvua za masika kuanza. Generally December, January na February ni miezi ya joto pwani yote ya Tanzania especially DarMiaka ya myuma mwezi huu haukupaswa kuwa na joto
Hii kawaida kabisa.Kukataa ni haki yako. Mimi naweka umeme wa 10000 ambazo kama si mwanzo wa mwezi ni unit 28, zinakaa siku 5 hadi 6 tu
Sio sehemu hata nyumba yako umeijengaje inachangia joto kuwa kali zaidi. Nyumba iko kwenye kiwanja cha 400sqm halafu madirisha ya futi 4 kwa 4 na ina ukuta solid kozi 12 unategemea huwa itapita wapi?Ila hili joto linategemea na ww unakaa wapi.. kuna sehemu huku hakuna joto kabisa na ni Dar hii hii..