Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

IMG_20240104_051929.jpg
 
Nawashangaa sana wanaosema eti miaka ya nyuma December haikuwa na joto. Kuna watu hawako informed kabisa. Hiki ni kipindi cha joto, nyuzi 30-35c ni kawaida kwa mji kama Dar ni wewe kujua namna ya kujikinga na hilo joto.
IMG_20240104_051929.jpg
 
Habari wadau.

Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity.

Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.

Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;

1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi

Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
AC ya kwenye gari mchana nayo inaelemewa.
 
Yaani nilitaka nitafute fundi AC aisee, maana me kwa kawaida nikiwasha AC kwa masaa 4 tu unit 5 mpaka 7 zinakatika
Wala usitafte fundi kiongozi mchawi ni hiyo AC maana binafsi kabla sijafunga Ac ,matumizi yangu yalikuwa umeme wa 10,000 ambazo unut 28 natumia siku 5 ,hapo friji halizimwi ,na feni kwangu ziko tatu na makorokoro mengine ,inamana nilikuwa natumia Unit 5.6 kwa siku ,

Ila nilipofunga Ac chumbani Inamana natumia kwa siku Unit 14 ambapo hapo kuna ongezeko la uniti 9.na point zake,

Kwahiyo unaona bado Ac hata kwa lisaa haiwezi kula unit moja ya umeme peke yake ,kwahiyo bado tuko vzuri na ukitaka kuthibitisha hilo jaribu kuzima kila kitu acha Ac hata kwa lisaa limoja uwone ,

Kwahiyo Kiongozi mchawi hapo ni Hela tu ,kama una hela zako unanunua umeme wakutosha unakula maisha ,kama huna mzee unawasha zako feni maisha yanasonga [emoji23] japo ukizoea mufindi aisee inakuwa Tabu laazima utakopa utanyan'ganya Dude liungurumee ,Unyonge sio kitu kizuri ukipata nafasi kula maisha tu ,(Tunaishi mara moja )
 
1. Kama ukuta wa chumba haupigwi sana na jua na kuchemka. 2. Hukai ghorofani top floor yenye paa la zege tu 3. Uchumi wa kawaida sana, Btu 9000 inatosha. Kinyume chake chukua btu 1200. Hakikisha ni inverter.
Kiongozi hizi AC za Inveter zinapunguza kasi ya ulaji wa umeme au ni stori tu ,maana kuna jamaa naona kaleta uzi yake ina inveter na mie haina inveter ulaji wake sawa tu naona ,? Ebu nipe ufafanuzi hapa
 
Hamna cha ajabu ni December huku kwetu ni summer time. Kutofautiana nyuzi 3 au 5 hata mwaka jana na juzi kuna tofauti. Ingekuwa June halafu joto ni 35c ingekuwa ajabu.
Unabishana na TMAA mkuu?
 
Kiongozi hizi AC za Inveter zinapunguza kasi ya ulaji wa umeme au ni stori tu ,maana kuna jamaa naona kaleta uzi yake ina inveter na mie haina inveter ulaji wake sawa tu naona ,? Ebu nipe ufafanuzi hapa
 
Kiongozi hizi AC za Inveter zinapunguza kasi ya ulaji wa umeme au ni stori tu ,maana kuna jamaa naona kaleta uzi yake ina inveter na mie haina inveter ulaji wake sawa tu naona ,? Ebu nipe ufafanuzi hapa
Reduce by 30% ur electricity consumption but their bit expensive
 
Habari wadau.

Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity.

Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana.

Tips muhimu za kuishi maisha ya hali hii ya joto ni pamoja na;

1. kunywa maji na vimiminika kwa wingi
2. Kuepuka kukaa kwenye jua moja kwa moja
3. Kuvaa nguo nyepesi

Hope TMA wataliongelea hili and hope hizotips zimesaidia
View attachment 2858039
Ukiangakua kwa makini mimea ilianza kunyauka.
Lakini inakuja mvua moja matata kabisa
 
Sasa wanyanduanaji akina DeepPond kazini kwao kuna kazi.....
 
Hili joto halitafikia lile la mwaka 2002 kama sikosei, lile ndilo lilikuwa kiboko maana ilikuwa ni kama hili sasa lenyewe lilidumu kwa muda mrefu zaidi yaani tokea mwezi wa 10 likaja kutuachia mwezi wa 4 huko.

Hili at least tunapata na mvua kidogo hewa inapoa.
 
Iyo Ac kilo ngapi. 1 au 2 maana kwa kawaida nikiwasha ac yangu full 24 hrs natumia unit 15 hadi 14 per day
Mi nilikua Nawasha,AC mbili asubuhi mpaka jioni unit zinaenda 20 na kitu weee, na zilikua mpya kabsa,ebu atudadavulie yamkini Kuna namna anayofanya kwenye huu umeme wa Tanesco au tunapigwa kamba tu humu.Btw wanaume wa Dar pole zao korodani zitakua zinatoa cheche kwa joto hili.
 
Back
Top Bottom