Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tukinywa bia na maji mengi pia haisaidii???usinywe bia mchana huu kuepuka kupoteza maji mwilini.
Haisaidii, sana utakojoa harakaharaka mara nyingi.Tukinywa bia na maji mengi pia haisaidii???
Nyie mnalindwa na waziri mkuu mtetezi wenu.
Dah, nasikitika kupata huu ujumbe late maana hapa nishapiga povu kama 7 hivi na sioni niendako. Nilipark gari pembezoni mwa barabara kujisaidia kumbe nilkuwa naenda kujitupa baharini. Yaani bila wagogo wa pale darajani kunishitua mngekula sadaka kesho na kunililia. Kuanzia sasa, nitawaheshimu Wagogo popote niwaonapo.Kiwango cha joto mchana wa leo jijini Dar es Salaam kimefika kati ya 33°c na 34°c, hiki ni kiwango cha juu sana kwa jiji hili, chukua tahadhari usinywe bia mchana huu kuepuka kupoteza maji mwilini.
Tukinywa bia na maji mengi pia haisaidii???
Kumbe wanakata na usiku? maneo hasa ya uswazi hapa Dar bila kulala na feni usiku inakuwa majanga...Tanesco nao wanazingua, usiku wanakata umeme. joto Kama tumelala kwenye tanuri jamani🙆🙆🙆
Bila kitu mfukoni joto linapanda zaidi, wewe utakuwa student..Sijaelewa uzi unazungumzia hali ya joto au ATM
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
ATM na joto wapi na wapi?Kiwango cha joto mchana wa leo jijini Dar es Salaam kimefika kati ya 33°c na 34°c, hiki ni kiwango cha juu sana kwa jiji hili, chukua tahadhari usinywe bia mchana huu kuepuka kupoteza maji mwilini.