Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #21
Wenyewe wenye ATM zao wanaelewa, bila hivyo utatulizaje koo!ATM na joto wapi na wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wenye ATM zao wanaelewa, bila hivyo utatulizaje koo!ATM na joto wapi na wapi?
Yaani wanaenda kwa zamu wiki hii wakikata mchana ni wiki nzima mnakatiwa umeme mchana, wiki inayofuata wanakata usiku. Saa 12 Hadi saa sita usikuKumbe wanakata na usiku? maneo hasa ya uswazi hapa Dar bila kulala na feni usiku inakuwa majanga...
We nae kunya ulale"Hiki ni kiwango cha juu sana kwa jiji hili"
ukiona wanaume wanajadili jambo usiwe na fikra za ki ushindani, unakosa sifa ya uanamke na utashindwa ndoa
Mpwayungu Village mtetezi halisi wa waalimu, umeisoma hii?🤣Kiwango cha joto mchana wa leo jijini Dar es Salaam kimefika kati ya 33°c na 34°c, hiki ni kiwango cha juu sana kwa jiji hili, chukua tahadhari usinywe bia mchana huu kuepuka kupoteza maji mwilini.
Saa 8 hadi 9 alasiri ilifika 35°CelsiusKiwango cha joto mchana wa leo jijini Dar es Salaam kimefika kati ya 33°c na 34°c, hiki ni kiwango cha juu sana kwa jiji hili, chukua tahadhari usinywe bia mchana huu kuepuka kupoteza maji mwilini.
Sio mbaya, kwangu ni bora joto kali kuliko baridi kali..Saa 8 hadi 9 alasiri ilifika 35°Celsius