Joyce Kiria afunguka kusuka nywele kwa Tsh. milioni 5 na mumewe ndio hulipia gharama hizo

Joyce Kiria afunguka kusuka nywele kwa Tsh. milioni 5 na mumewe ndio hulipia gharama hizo

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Mwanaharakati wa masuala ya Wanawake Joyce Kiria amefunguka kuwa baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika alisema hatoingia tena kwenye mahusiano ambayo yeye atakuwa na jukumu la kumtunza mume bali ni mwendo wa check ufike akupe matumizi kuanzia nyumba anayoishi, saa, nywele n.k

Check uje hapa nikupe invoice kuanzia nyumba nayoishi hivi nilivyo saa yangu, nywele unavyoiona hapa ni 5 Milioni sio uje hapa na suruali yako.

Amesisitiza kuwa hata hiyo nywele yake ya Milioni 5 mumewe ndio anagharamia.

Source: Mawingu Digital

Screenshot_20220530-163338.jpg
 
Hiuo gharama huwa wanatumia wote, yaan yeye na huyo marioo wake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakin eti anajidai sjui kanunua gari la mamilioni na kampatia kajala,wakati show zenyew anazofanya hazionekani
Hana hela na Leo kwenye kikao Cha mediation HC Land Division ameomba awe analipa 2m Kwa mwezi Ili amalize deni. Waongo Sana hao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom