M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
TENA WANA HARAKATIO NDIO WANAONGOZAKwani yeye hanyi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TENA WANA HARAKATIO NDIO WANAONGOZAKwani yeye hanyi!?
Hivi hao wanawake wenyewe anawateteaje kwa huu upuuzi anaoongea???Mwanaharakati wa masuala ya wanawake Joyce Kiria amefunguka kuwa baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika alisema hatoingia tena kwenye mahusiano ambayo yeye atakuwa na jukumu la kumtunza mume bali ni mwendo wa check ufike akupe matumizi kuanzia nyumba anayoishi, saa, nywele n.k
Check uje hapa nikupe invoice kuanzia nyumba nayoishi hivi nilivyo saa yangu, nywele unavyoiona hapa ni 5 Milioni sio uje hapa na suruali yako.
Amesisitiza kuwa hata hiyo nywele yake ya Milioni 5 mumewe ndio anagharamia.
Source: Mawingu Digital
Nimejikuta nacheka tu
🤣🤣🤣🤣Si wameachana?Sasa huyo mume anataka mwenzie awe msimbe?Inaumiza sana kwa mwanaume wake wa kwanza kuona mke wake kakumbatiwa hivi sometimes wanawake mnajitafutia kuuwawa
Kwahiyo madogo wanampiga na ndala,wamestuka jamaa ni kama wao anatunzwa tuNdo yule jamaa ambaye watoto wa Kileo wanamtandikaga na ndala kisa wanadai anakula bure kwa mama yao? Dah waliwahi kimdhalilisha kwenye salon moja hivi hadi aibu nikaona mimi.
Halafu Joyce usuke nywele za milioni 5 kisha gari ikuishie mafuta kule wazo? Gari lenyewe brevis chakavuuuu. Niishie hapo tu!
Wananchi wenyewe ndo Hawa katiba mpya ya nini
Huyu maza ameishiwa hoja za kuongeaMwanaharakati wa masuala ya Wanawake Joyce Kiria amefunguka kuwa baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika alisema hatoingia tena kwenye mahusiano ambayo yeye atakuwa na jukumu la kumtunza mume bali ni mwendo wa check ufike akupe matumizi kuanzia nyumba anayoishi, saa, nywele n.k
Check uje hapa nikupe invoice kuanzia nyumba nayoishi hivi nilivyo saa yangu, nywele unavyoiona hapa ni 5 Milioni sio uje hapa na suruali yako.
Amesisitiza kuwa hata hiyo nywele yake ya Milioni 5 mumewe ndio anagharamia.
Source: Mawingu Digital
Kwani Wewe ulitakaje Mzee???.Bado yupo na huyo brazamen kumbe
Wewe unatakajeKwani Wewe ulitakaje Mzee???.
Nakuuliza wewe, wabongo bhana Yaani inaumiza swali badala ya kujibu na wewe unauliza swali.Hawa ndio Wabongo.Wewe unatakaje
Usilie sasaNakuuliza wewe, wabongo bhana Yaani inaumiza swali badala ya kujibu na wewe unauliza swali.Hawa ndio Wabongo.
Kubwa J hiliMwanaharakati wa masuala ya Wanawake Joyce Kiria amefunguka kuwa baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika alisema hatoingia tena kwenye mahusiano ambayo yeye atakuwa na jukumu la kumtunza mume bali ni mwendo wa check ufike akupe matumizi kuanzia nyumba anayoishi, saa, nywele n.k
Check uje hapa nikupe invoice kuanzia nyumba nayoishi hivi nilivyo saa yangu, nywele unavyoiona hapa ni 5 Milioni sio uje hapa na suruali yako.
Amesisitiza kuwa hata hiyo nywele yake ya Milioni 5 mumewe ndio anagharamia.
Source: Mawingu Digital