Joyce Kiria afunguka kusuka nywele kwa Tsh. milioni 5 na mumewe ndio hulipia gharama hizo

Joyce Kiria afunguka kusuka nywele kwa Tsh. milioni 5 na mumewe ndio hulipia gharama hizo

Joyce ana ndoa mbili wa kwanza keshakubali yaishe,wa pili alizaa nae watoto wawili(kileo)kakubali yaishe tena kwa talaka sasa hapo unamuongelea yupi. Punguza wivu,ukiachwa achika maisha yaendelee
Inaumiza sana kwa mwanaume wake wa kwanza kuona mke wake kakumbatiwa hivi sometimes wanawake mnajitafutia kuuwawa
 
Mdangaji tu wadangaji wengine sema yeye ni maarufu kwa sababu ya kuongea ongea na ataachwa tena. Kwenye ndoa wanaume hatutaki mwanamke alete umaarufu wake kama haamini ataona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wasimbe wanatumia vibaya sana hizi platform Kuna yule aliesema yeye bila mahari ya milioni mia tano haolewi nashangaa ameolewa na mganga wa kienyeji kama mke mdogo ko hata hawa ni wa kuwapotezea ukipata jipigie tembea hawa sio wanawake wa kuweka ndani
 
AF hawa wasanii wanatuigizia sana maisha ila kwa Ground wana maisha magumu balaa kuna video vixen mmoja kitaa wana wamejipigia sana lakini kwa media anakuja kujirank kama high class na kuna wana wamejipigia hadi kwa Savannah na kuku nusu
 
Write your reply...watu kina Nancy sumari bhana kina Faraja nyalandu wanakula mema ya nchi kimyakimya
 
Mpeni Salam, mwambieni na sisi atutumii hela na mademu wabaya wabaya.
 
Mpeni Salam, mwambieni na sisi atutumii hela na mademu wabaya wabaya.



Anaubaya gani dada wa watu ?

Ubaya unaupima Kwa namna gani ?

Je kilichoumwa na Mwenyezi Mungu unakosea kazi ya Mungu?
 
HAWA WATU KUTOKA MKOA,JIRANI NA TANGA WANGELIKUWA NA MIGUU MIZURI WANGESUMBUA SANA MJINI.

SASA INVOICE KWA MIGUU GANAI DADA?

HALAFU HUYO JAMAA MBONA NI TEPETEVU?
 
Back
Top Bottom