Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Waongo Hao, Ndio kama Harmonize alieshindwa kulipa Kodi ya Eng. Usiri Mpaka Leo.Hv gharama za haya madude ni kwel kuna watu hapa bongo wanatumia madude ya gharama hzo
Lakin eti anajidai sjui kanunua gari la mamilioni na kampatia kajala,wakati show zenyew anazofanya hazionekaniWaongo Hao, Ndio kama Harmonize alieshindwa kulipa Kodi ya Eng. Usiri Mpaka Leo.
.
Konde ukimwambia Hata akupe M.2 hapo Hana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alivyobahili anaitumia wapi. Ujinga tuHiuo gharama huwa wanatumia wote, yaan yeye na huyo marioo wake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana hela na Leo kwenye kikao Cha mediation HC Land Division ameomba awe analipa 2m Kwa mwezi Ili amalize deni. Waongo Sana haoLakin eti anajidai sjui kanunua gari la mamilioni na kampatia kajala,wakati show zenyew anazofanya hazionekani
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndo hapo na mie nashangaa
Haaaaa jamani