Hivi lile deni la mhandisi Usiri halijalipwa hadi leo?Waongo Hao, Ndio kama Harmonize alieshindwa kulipa Kodi ya Eng. Usiri Mpaka Leo.
.
Konde ukimwambia Hata akupe M.2 hapo Hana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kikongwe eeehHuyu ana "attention seeking disorder."
Kuna mambo ya kujivunia, sio huo upupu..tena kwa mwanamke mtu mzima kabisa.
Inaumiza sana kwa mwanaume wake wa kwanza kuona mke wake kakumbatiwa hivi sometimes wanawake mnajitafutia kuuwawa
We ni bonge la kiazi 😀
Kusuka au upasuaji wa fuvu?Hivi Bongo hii kuna saloon inayosuka kwa hata 1M kweli kwa kichwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana dhambi khaaahHuyo ni Nabii Tito?
Mpeni Salam, mwambieni na sisi atutumii hela na mademu wabaya wabaya.