Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 150
ZD umenifanya ni-login, mwache dogo aendeleze libeneke si unajua siku hizi nimeshazeeka inabidi niwaachie vijana hizi titles, Kiukweli itabidi nibadili ID kuakisi my new status.Nakufananisha au?Nadhani Dawomenizer atakuwa ni kakaako
ni kileo huyuhuyu wa pale ubungo iss??? pole yake..
Tunashukuru kwa michango yenu wale wote waliyotupa pongezi na wale wote waliyoponda. ila kikubwa zaidi ni kumshukuru mungu kwa kila jambo maana yeye ndiye mkuu wa yote. ni kweli mungu ametubariki mtoto wa kiume. mungu awabariki sana jp njema.
Mumewe nani? Manake ndo yake ilivunjika....Nahisi amezini huyo.
Hongera mkuu kwa kupata kidume-nikitumia maneno ya habari leo walivyoripoti mtoto wa Dr.laa na Josephine!!
Naomba nikukumbushe kutumia herufi kubwa unapoanza kuliandika jina la Mungu kama unamkusudia Mungu wa mbinguni!!
nitumie kamanda
Tunashukuru kwa michango yenu wale wote waliyotupa pongezi na wale wote waliyoponda. ila kikubwa zaidi ni kumshukuru mungu kwa kila jambo maana yeye ndiye mkuu wa yote. ni kweli mungu ametubariki mtoto wa kiume. mungu awabariki sana jp njema.
Tunashukuru kwa michango yenu wale wote waliyotupa pongezi na wale wote waliyoponda. ila kikubwa zaidi ni kumshukuru mungu kwa kila jambo maana yeye ndiye mkuu wa yote. ni kweli mungu ametubariki mtoto wa kiume. mungu awabariki sana jp njema.
[h=3]....CONGRATULATIONS....JOYCE KIRIA...![/h]Starring Bongo Movie na Mtangazaji wa vipindi vya Bongo Movie na Wanawake Live vinavyooneshwa na ting'a kali No 1 kwa vijana aka 5-EATV,Joyce Kiria kwa sasa ruksa kumuita Mama Lincon,baada ya kujifungua mtoto wa kiume,siku ya Jumamosi tarehe 11 June,2011 pande za Marie Stopes Clinic iliyopo Mwenge-DSM Newly Born-Baby Boy anakwenda kwa jina la Lincon Henry Kilewo....Congrats
Hongera Kilewo...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Maria stopes wameendelea sana, kutoka utoaji mimba hadi uzalishaji.