Joyce Kiria ameachana na mumewe?

Joyce Kiria ameachana na mumewe?

chuchunge

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2007
Posts
218
Reaction score
167
Nimekua nikiona post zake mara kwa mara akisema single life na akishauri wanawake wenzake kutokukaa kwenye ndoa zenye matatizo,hizi statement mbili hizi zinaonyesha kuna walakini kwenye marriage yake.
Screenshot_20170923-232546.png
 
Nimekua nikiona post zake mara kwa mara akisema single life na akishauri wanawake wenzake kutokukaa kwenye ndoa zenye matatizo,hizi statement mbili hizi zinaonyesha kuna walakini kwenye marriage yake.
View attachment 594454

Kwani tangia lini amewahi kudumu katika Ndoa na wote aliokuwa anatiririka na anaserereka nao Kibaiolojia Mkuu?
 
Back
Top Bottom