Ngoja nikaquote haka kaposti kako nikatumie kama ushahidi... maana huchelewi kukadelete wewe.π€£π€£nitakupa kama zote usijali
Mzuri. Mwanume hawi mrembo!!!
Halafu leo ijumaa usinichekeshe hivyoπ€£π€£Ngoja nikaquote haka kaposti kako nikatumie kama ushahidi... maana huchelewi kukadelete wewe.
Hahaaaaa si ndo mana nikapitia huku my babuNisingekuona kwenye hii thread basi ningeamini siku hizi kuna mbuzi anayetaga mayai ya bata
Mwenyewe natamani amnyooshe hadi ajifunze adabu na heshima ya Mume.
Umenifananisha babu. Mimi napatikana kwenye nyuzi zinazohusu maadili.Ningeshangaa sana nisingekuona hapa. Maana wewe na ubuyu ni sawa na Jiwe na Bashite.
Ngoja nirudi na PhD yangu nipate pakuanzia nikisubiria teuziWewe tu mkuu jisogeze mdada mwenyewe Ana fight kwenye life
Kwani ukicheka Ijumaa unapatwa na mkosi? Yani umenikatisha tamaa maana nlitaka nikuchekeshe mpaka ujue ni kwanini ukila mayai ya kuchemsha unaachia ushuzi wenye harufu kama perfume ya osigelo wetu wa leoHalafu leo ijumaa usinichekeshe hivyoπ€£π€£
Ngoja nirudi na PhD yangu nipate pakuanzia nikisubiria teuzi
bibiiiii.... skamuuuu.. babu hajamboooooo??? msalimieeeeππ±π±ππWivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!
Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..π
Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Hafanani na kuwa nyakunyakuMoza huyo pictures from her ig pageView attachment 927253View attachment 927254
Anateseka au anatafuta public sympathy? Yeye si keshaamua kupita hivi? Sasa inakuwaje daily analamika kwenye mitandao? Bado inamuuma kumbeYule Dada anateseka sana jamani...hadi huruma[emoji22]
Katumia fursa mkuu maana kumbe walikuwa marafiki na kiria had kula pamojaHafanani na kuwa nyakunyaku
Mwanamke mpumbafu uharibu nyumba kwa mikono yake mwenyewe..!Kazidi mno huyo Joyce Kuwa na kipato hakukufanyi uwe kidume Baba watoto ananunua chakula viatu na hela anakupa then waenda mtangaza mtandaoni ka si dharau za ajabu nini. Acha anyooshwe kaharibu family yake
Aeleweke nini mbumbu yule, eti super woman mfyuuhh..Wachache sana wanaomwelewa Joyce kiria
Ndiyo atulie sasa..!Huyu dada ana mapenzi mazito na baba watoto wake..
Mwanamke mpumbafu uharibu nyumba kwa mikono yake mwenyewe..!
Mtu umeshika makali, mi nimeshika mpini, af unaenda kunitangaza instagram.Mamaee,lazima akili zimkae .