Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mwanaume anakomolewa ila sio kwa mtindo huoHii ni ile unaachana na mwanamke kwa ujinga wake..siku ya siku anakukuta na kifaa kipya tena kikiwa kimemzidi kwa kila kitu..hapo lazima apasuke!
Huyu dada alisahau kua mwanaume akomolewi sasa naona unalia et ana MAUMIVU