Mwanaume anakomolewa ila sio kwa mtindo huoHii ni ile unaachana na mwanamke kwa ujinga wake..siku ya siku anakukuta na kifaa kipya tena kikiwa kimemzidi kwa kila kitu..hapo lazima apasuke!
Huyu dada alisahau kua mwanaume akomolewi sasa naona unalia et ana MAUMIVU
Mchaga mshamba sana huyu atakuwa wa kishumundu
Hapo sasa alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimajaa apambane na hali yakeWivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!
Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..[emoji3]
Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Nikuuluze swali 1 tu.tunaomba nasisi utusaidie jinsi ya kumgundua kabla hajawa mpenzi wako na baadae kuoana!
1.Hii inaitwa kikulacho.What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.
Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
Vipi hapa itikadi haihusiki?siamini unaweza kuwa neutral namna hii kwa Kamanda Kileo!!Wivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!
Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..[emoji3]
Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Mamaee,lazima akili zimkae .Kama mi ndo mumewe, nikiona ujumbe huu, ndo narudi na nguo ya ndani ya mchepuko af namwambia njoo mke wangu unuse...
Usema kweli mdomo ndo umemponzaAna matatizo halafu nadhani hataki kushauriwa. Analalamika mambo ya msingi lkn why dunia nzima ijue? Ili iweje?
Kama kweli anapinga ukatili wa kijinsia angetuonyesha mfano kumpeleka kileo mahakamani badala yake ana bwabwaja tuuu.
sio fair !? Joyce alivyo mdhalilisha ilikuwa ni kidogo mkuuSijui kwanini anamfanyia hivo mwenzake...sio fair
Wale watoto bado wadogo ...for the sake of children Kilewo angemsamehe!Wacha ajifaidie wanawake nanyie mnajua umiza kichwa
hahaaMwanaume akikuchoka yaani hata ulie kilio cha namna gani ni kazi bure. Kinachonishangaza sio malalamiko yake lkn why kuanika kila kitu mtandaoni? Juzi Kileo kanunulia watoto viatu eti anatoa asante mtandaoni. Huyu dada hana akili..mara mia Giggy Money
Kwa Kilewo kashindwa asee.....na asipojirudi atapata kichaa soon!What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.
Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
Aisee kumbe kapata demu ana mawe ... joy kazi anayoMi namuona kama kachanganyikiwa vile mwanaume anamrusha roho[emoji26]
Na huyo Moza mambo yake super sijui kama kilewo atabanduka leo or kesho!
Poor Joy
Nimelike comment yako kwa mara ya kwanzaWivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!
Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..😀
Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Joy anatumia old stone ageMwanaume anakomolewa ila sio kwa mtindo huo
hahaaa " mimi navaa chupi ya mchepuko wangu kabisa halafu nikirudi kwa wife naomba mechi ili akinivua tu akutane nayoKama mi ndo mumewe, nikiona ujumbe huu, ndo narudi na nguo ya ndani ya mchepuko af namwambia njoo mke wangu unuse...
Kwa Kilewo kashindwa asee.....na asipojirudi atapata kichaa soon!
Moza ni kisu balaa halafu ana mkwanja, na anamkubali jamaa kusalimia tu anapiga goti , mtoto heshima debe,sasa jamaa ataanzaje kurudi kwa Joy kimfano yaani?