Kaumia sana...hii iko wazi!hahaaa this time jamaa kamuweza " kumbe lina wivu bado linampenda mumewe period "... joyce atulie hivyo hivyo wanawake wanaojua kutumia fursa wa muonyeshe show " yeye sialikuwa ana muanika mume wake" sasa alitegemea nini kama sio kunya kuliwa na manyaku nyaku "...., dahh inaonyesha imemchoma kama pasi aisee
Mi simuonei huruma ujue....my concern ni kwa watoto bado wadogo...sio fair !? Joyce alivyo mdhalilisha ilikuwa ni kidogo mkuu
alimkimbia Dj Nelly huyo .. karma is a bitchIla huruma asee....lkn nasikia alimfanyia vibaya first husband wake
Demu mkali na mkwanja wa maana!..Joy atajimurderAisee kumbe kapata demu ana mawe ... joy kazi anayo
daahh huyo sio mwanamke aisee " ... kwakweli jamaa ambwage tu .. hamna mtu muleMi simuonei huruma ujue....my concern ni kwa watoto bado wadogo...
Hahahhh Joyce buana alianzisha muziki bila bendi sasa anashindwa kuucheza. Si alisema kuna mtu atampenda zaidi! Ampe gari naye akamdoboshee ex Kilewo Tit for Tat roho yake itaponaKama amefikia pa kuja nyumbani na gari ya mpenzi wake mpya kubali kuwa na mahusiano ya kuleta watoto. Penzi hapo limeota mbawa.
Huyo mchepuko waitwa moza ni kamanda mwenzake na kileo ni mrembo huyo Moza na yuko vzuriEeeeeh
Mpenzi wake mpya..
Kafanya Joyce akumbuke aliolewa.. huyo demu atakuwa kamzidi kwa mengi.. ingekuwa demu wa ovyo ovyo hana mbele wala nyuma isingemuuma hivi..
Anaisoma namba.. lazima analia tu.. eti kisa gari analoendesha baba watoto..
Huyo mwanamke anatamaa mbaya ya pesa [emoji16]
Msingi kiuno[emoji23] [emoji23]Ila daah kamanda kageuka marioo aiseee mjini pesaaa
Eti Nelly akawa kichaa....huyu Joy huyu[emoji15]alimkimbia Dj Nelly huyo .. karma is a bitch
Karma ya mume wa kwanza ina mtesa hafu kuishi na Joyce inabidi uwe na roho ya chuma hana siri hajui nafasi ya mke kwanini umzalilishe mume mtandaoni. Kileo mwenyewe handsome vile acha a jifunze akome mdomo na kupanda mumewe kichwani.Hahahhh Joyce buana alianzisha muziki bila bendi sasa anashindwa kuucheza. Si alisema kuna mtu atampenda zaidi! Ampe gari naye akamdoboshee ex Kilewo Tit for Tat roho yake itapona
Demu kamuwehusha kinoma...kule insta kila sentensi moja " mume wangu" mara kidogo " mume wangu hivi na vile yaaan[emoji15] ....jamaa kajua kumkomeshadaahh huyo sio mwanamke aisee " ... kwakweli jamaa ambwage tu .. hamna mtu mule
Kazidi hafu too much mjuaji hashauriki sio kila jambo kwa ndoa ni usawadaahh huyo sio mwanamke aisee " ... kwakweli jamaa ambwage tu .. hamna mtu mule
Mchepuko mzuri Joyce kamuzalilisha mno kileoDemu mkali na mkwanja wa maana!..Joy atajimurder
Yes dear....halafu unaambiwa Moza ana heshima na adabu, mzuri, na ana hela!Huyo mchepuko waitwa moza ni kamanda mwenzake na kileo ni mrembo huyo Moza na yuko vzuri
Watoto wao sasa wale bado wadogo..duuhMchepuko mzuri Joyce kamuzalilisha mno kileo
Aisee ndio imeshakula kwake "..., serious alimuanika mumewe vibaya sana '.. mwanaume yeyote anaye jitambua hawezi kuvumilia ile tabia chafu aliyoionyesha .. ilikuwa ni sawa na kumvua nguo tu ... so this time acha tu avune alicho kipandaKaumia sana...hii iko wazi!
Demu mwenyewe aliyemnyakulia ni kisu balaaa, na ana mshiko wa kufa mtu
Sana...Joy alimharibu mwenzake kisaikolojiAisee ndio imeshakula kwake "..., serious alimuanika mumewe vibaya sana '.. mwanaume yeyote anaye jitambua hawezi kuvumilia ile tabia chafu aliyoionyesha .. ilikuwa ni sawa na kumvua nguo tu ... so this time acha tu avune alicho kipanda
Aisee " alijifanya kuleta u-super woman mpaka ndani ya nyumba yake ... acha jeuri yake imtafune sasaKazidi hafu too much mjuaji hashauriki sio kila jambo kwa ndoa ni usawa
hahaaa nimefurahi sana aisee ..Demu kamuwehusha kinoma...kule insta kila sentensi moja " mume wangu" mara kidogo " mume wangu hivi na vile yaaan[emoji15] ....jamaa kajua kumkomesha