Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Ngoja nianze kujisogeza kumfariji huenda nikaokota nazi chini ya muembe ,dad is coming
 
[emoji445][emoji441]Kuachwa kuachwaa kuachwa ni shughuli pevu mbaya zaidi kwa yule unae mpenda wewe unanenepa mwenzio anakonda na mawazo namawazo[emoji445][emoji445][emoji446][emoji447]
 
kama mimi ndiye ningekuwa kamanda ... baada ya kuuona huo waraka wake ... kesho ningekwenda car rental " ninge kodisha X6 ninge li change plate number kwa muda mfupi tu ". then ningekwenda nalo home kuwasalimia wanangu
Hahaaaaa jamani waweza muua Joyce ujue kalia had kavimba sasa akiona akumbuka maumivu up ya
 
Ila kuna mengi nyuma ya pazia na hatujui
Kazidi mno huyo Joyce Kuwa na kipato hakukufanyi uwe kidume Baba watoto ananunua chakula viatu na hela anakupa then waenda mtangaza mtandaoni ka si dharau za ajabu nini. Acha anyooshwe kaharibu family yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…