Anatafuta Kiki kama Dudu Baya na Mbasha mjini ni kudandia dandia vihojaDab ameibuka upya tumeshamchoka
Kweli mkuu.Uvumilivu huwa una kipimo..!
nimefurahi kwa sababu super woman kapatikana ... sasa kama yeye anajiita super woman " aliye mpora mume sijui atamuitaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa umefurahi nini mkui?
Anza na mfalme DaudMitume gani hao walikuwa na wake kumi?
Nyaku nyaku[emoji85] [emoji85] [emoji85]nimefurahi kwa sababu super woman kapatikana ... sasa kama yeye anajiita super woman " aliye mpora mume sijui atamuitaje
hahahaa kwakweliNyaku nyaku[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hivi ni kileo yule wa Chadema?Hawa si walipatana hapo juzi tu? Inakuwaje ametoka na single hii au ni kiki ya kupromote tamasha lake?
Hivi ni kileo yule wa Chadema?
Kama CCM inavyowafanyia wananchi siyo fair at allSijui kwanini anamfanyia hivo mwenzake...sio fair
Correction: Joyce si mchaga ni mpare.Huyu mwanamke na yule wa Sugu akili zao ni copy za wanawake wa kichagga,alimwacha jamaa kwa matusi makubwa sana sasa hivi anajiliza kama mtoto mchanga
Halafu kwanini wanawake wa kichagga huwa wanazingua sana?
Ndio yeye
Duh mbona kama ni roll model jamaa
Kazidi mno huyo Joyce Kuwa na kipato hakukufanyi uwe kidume Baba watoto ananunua chakula viatu na hela anakupa then waenda mtangaza mtandaoni ka si dharau za ajabu nini. Acha anyooshwe kaharibu family yakeKweli mmemwamulia huyu asiyejua kupendwa
Hahaaaaa jamani waweza muua Joyce ujue kalia had kavimba sasa akiona akumbuka maumivu up yakama mimi ndiye ningekuwa kamanda ... baada ya kuuona huo waraka wake ... kesho ningekwenda car rental " ninge kodisha X6 ninge li change plate number kwa muda mfupi tu ". then ningekwenda nalo home kuwasalimia wanangu
Duh hivi vikojoleo vyetu hivi vinaleta matatizo sana moyoniMahusiano hayatabiriki ndugu,utakufa buree ukifikiria u role model
Kazidi mno huyo Joyce Kuwa na kipato hakukufanyi uwe kidume Baba watoto ananunua chakula viatu na hela anakupa then waenda mtangaza mtandaoni ka si dharau za ajabu nini. Acha anyooshwe kaharibu family yake
Wachache sana wanaomwelewa Joyce kiriaUkimfatilia kule insta..inaonesha ana msongo wa mawazo