Hivi Joyce Kiria ni Judge, Magistrate au? Anatumia sheria gani kuingilia nyumba za watu na kuwahoji? Sawa ni mwaka harakati, sheria gani ya uanaharakati inamruhusu kuingia nyumba za watu kwa nguvu. Wanasheria naomba tuelimishane? Polisi anaoambatana nao wanatumia sheria gani kufanya anayoyataka Joyce Kiria.
Hivi Joyce Kiria ni Judge, Magistrate au? Anatumia sheria gani kuingilia nyumba za watu na kuwahoji? Sawa ni mwaka harakati, sheria gani ya uanaharakati inamruhusu kuingia nyumba za watu kwa nguvu. Wanasheria naomba tuelimishane? Polisi anaoambatana nao wanatumia sheria gani kufanya anayoyataka Joyce Kiria.
Kaingia kwa nguvu kwenye nyumba ya nani?
Joyce Kiria ni msema ukweli na mtetezi wawa nyonge!
Hata wewe ukiona sehemu kuna muhalifu unawajulisha polisi kama uko tayari kuambatana nao kumkamata muhalifu mnakwenda na wana mkamata!
Kumbuka kuna utii wa sheria bila shuruti na uzuri anakuwa ameambatana na viongozi wa eneo husika na muda mwingine anakuwa na polisi!
Binafs sjiawahi kumuona yeye au show yake kwahio sijui ila kwa machache niliyosikia kama anasaidia watu its well and good, ila kama anatumia watu kwa mgongo wa kuwasaidia huku akisaidia show yake basi hio ni mbaya sana na huenda akawa ni part ya tatizo na sio solution
Kwa hao wanaume anaodai wanawatesa wake zao na kuwakosesha haki zao. Nimeona leo na vipindi vilivyopita akilazimisha na mapolisi kuingia nyumba za watu na kuwahoji watu na kuwapeleka polisi. Inawezekana anachokifanya kina nia njema, lakini aongozwe sheria.
anachokifanya kwenye jamii ni kizuri ila anatakiwa kufuata sheria ya Jamuhuri katika utendaje wake wa kazi
Before I hazard my opinion I'd like to see exactly what you are talking about.
Do you happen to have video footage of that incident?
I do not have one but her programmes are aired by Channel 5. Just make a follow up!
Inawezekana ana nia nzuri lakini ni vyema akarudi darasani apigwe msasa kidogo kuhusu sheria.
Inawezekana ana nia nzuri lakini ni vyema akarudi darasani apigwe msasa kidogo kuhusu sheria.
Mbona hamsemi kavunja sheria gani?
kuna show alionyesha uso wa mtoto aliyebakwa,ambalo ni kosa kisheria...as long as inamuongezea watazamaji na matangazo yanakuja kwake sio ishu sana...hustle zinaendelea.
Teh teh.. kuunga pipe??mbavu zangu miye 😃😃😃Ni housegirl mstaafu, baada ya kustaafu amekuwa kanjanja japo anajiita mwandishi wa habari, ana talaka kadhaa kibindoni baada ya kuunga paipu kama fundi bomba, ni mweusi tii ila anatumia kalolaiti awe mweupe ili aendelee na safari ya kuunga paipu
Kimeo tu.yeye na Sipora wanaitaji shule. Watanzania tuamke tusiwape sifa za kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.huyu,kanumba,ray,ze komed wanaitaji shule.tusiwape sifa wasizostaili.