Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

Hakika tunazidi kuamini Ma ex Hawaachani. Jokajeusi anazidi kuchukuwa point. Huenda hata wakati akiwa na hao wanaume pia huyo Ex alikuwa anakula mzigo kilaini tu
yaani mzee Jokajeusi ile elimu yake ya kuoa bikra imenisaidia hata mimi, rasmi kabisa nasema kua SIWEZI KUOA MWANAMKE ASIYE BIKRA, huu ungese wa huyu mama umedhihirisha yote, dadek
 
Sema mimi nadhani amezungukwa na "Yes men" watu ambao wanakubali hata akifanya upuuzi. Kama angekuwa na watu wakam-monitor baadhi ya mienendo yake ingesaidia sana. Kuna baadhi ya vitu yeye kama mtetezi wa wanawake anavifanya havijakaa poa. Mwisho wa siku watu watampuuzia tu. Labda wale wajinga kama yeye wanaosupport tabia za ajabu kama hizo.
Haya makiki ya mapenzi yatamfanya aonekane malaya tu anayeharibu jamii, acheck wasanii waliozea kiki za kimapenzi sikuhizi watu wamewapuuza, ndoa ya tatu hii ina maana wanaume wote walikuwa wabaya na yeye malaika, Joyce a ahitaji mwanaume timamu wa kumu guide aache ujinga, she is old enough to act childish, sema umaarufu na kuweza kulipa bills Kuna mfanya ajione mkubwa
 
Haya makiki ya mapenzi yatamfanya aonekane malaya tu anayeharibu jamii, acheck wasanii waliozea kiki za kimapenzi sikuhizi watu wamewapuuza, ndoa ya tatu hii ina maana wanaume wote walikuwa wabaya na yeye malaika, Joyce a ahitaji mwanaume timamu wa kumu guide aache ujinga, she is old enough to act childish, sema umaarufu na kuweza kulipa bills Kuna mfanya ajione mkubwa
Ubongo wa Joyce na kuku ni ====
 
Ubongo wa Joyce na kuku ni ====
[emoji23][emoji23][emoji23] ana mambo ya kindezi shida umaarufu umemzidi akili, angekuwa na ka shule Joyce angetenda kwa hekima na angekuwa mbali sana, Sasa yeye most of time ni kushindana na wanaume aliowavuliq kyupi atulie hafu alioa ndoa ya kwanza imekufa asingetafta ndoa nyingine, Sasa katafta mwanaume mwingine yuko ka shoga anatoga masikio sijui bleach kichwani anawaonyeshea hao watoto wake wakiume Sasa anawafundisha nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ana mambo ya kindezi shida umaarufu umemzidi akili, angekuwa na ka shule Joyce angetenda kwa hekima na angekuwa mbali sana, Sasa yeye most of time ni kushindana na wanaume aliowavuliq kyupi atulie hafu alioa ndoa ya kwanza imekufa asingetafta ndoa nyingine, Sasa katafta mwanaume mwingine yuko ka shoga anatoga masikio sijui bleach kichwani anawaonyeshea hao watoto wake wakiume Sasa anawafundisha nini?
Mpumbavu huyo mchaga mwenzenu😅 yani anawaibisha kweri kweri
 
Back
Top Bottom