Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

Mwanaume akisha fanya bleaching kwenye nywele huwa siyo reliable and responsible kwa kweli
 
Mmh kidogo nishangae mwanaume na heshima zake achukue huyu tahira aloshindikana,kumbe wamekutana wote wameshindikana,huyu naye mwanaume wa kusimama mbele ya watu ukasema nina mme?
Pole sana wachaga especially wanaume wa kichaga sikuwahi kujua kama kuna wanaume wadizaini hii,I thought you're a very fighting men
 
Mbona wacheka tena wife to be....mie nikajua wee nae utakuwa kwenye usingle maza huku unaenjoy life maana mambo ya kutumwa ukapeleke ndoo ya maji ya kuoga hutaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sio single mother bwana, kweli kwa level yangu Mimi sibebi ndoo bafuni bwana, Kuna shower tu huko unawasha maji ya moto au baridi, [emoji23][emoji23]hafu kuwa single kwani Mimi ni sister mkuu
 
Kiporo cha jana hakipashwi na moto mkali sana! Walikua wanakunjana hao! Lakini nawaza jambo moja! Huyu ni mwanaume muoaji kweli?? Au mchakata mbususu tu! Sioni muoaji hapo!
Mwanaume mwenyewe mvaa hereni, hivi Joyce hawahurumii hao watoto wake wakiume aisee. Dah Mimi Bora niwe single kuliko kuwa na mwanaume mlegevu ka mlenda
 
Pale unapokuwa na mwili wa bibi ila akili ya kitoto cha miaka 6![emoji28]

Kwahio kusema huyo mpaka bleach ni EX wake na ameishi marekani toka miaka 20 iliopita ndio ina improve kitu gani katika hio situation[emoji28]?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Joyce kiria anavozidi kukua ndio akili zinapungua hata huyu yatamshinda tu aisee maana wote ni watalaka, na Joyce alivo msumbufu ana laana ya mume wa kwanza
 
Ila wabongo hapana kwa kweli, yaan mahusiano ya joyce na mume wake, ila wanaoteseka ni wengine. Mara ooh mwanaume n shoga sasa huyo shoga ndo kapendwa na Madame Joyce lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu sasa sio mwanaume wala wanawake wote wanateseka [emoji23][emoji23][emoji23] maajabu haya mweeeh

Yaan watu wanapovukwa km wamelishwa Doff khaah, mtakufa na pressure wenzenu wana enjoy life, uwiiiiiih

Madame Joyve kapiga kwenye mshono afu panapouma, weuweeeeh.
 
Kwanza kabisa tujiulize elimu ya Joyce Kiria baada ya hapo tuangalie alichokuwa anahamasisha wanawake wenzake na sasa hivi anafanya nini. Me sijawahi kumkubali huyu Dada pia kutokana na umri wake hatakiwi kupost anachopost manake kuna post zingine anapost anakiss na huyo Sharobalo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…