Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sanawatoto wa kibongo ndio wanaiga ili nao waonekake wa ughaibuni
By Mzilankende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sanawatoto wa kibongo ndio wanaiga ili nao waonekake wa ughaibuni
Jamaa na mchele mchele uyo,Wote wamepigana, na mume pia hamna hapo
Huyu ajiandae kufulishwa Hadi pichu. Hapo bi joy kajiolea.Jamaa na mchele mchele uyo,
Mwanaume unawekaje bleach na kutoboa hereni?
Wote Wamekosa Uelekeo Sasa Hivi Hao Tunasema Ni Ndaza (Pombe Ya Kienyeji Iliyolala)Jamaa kapigwa, Hamna MKE hapo[emoji4]
Kabisa mkuu,Wote Wamekosa Uelekeo Sasa Hivi Hao Tunasema Ni Ndaza (Pombe Ya Kienyeji Iliyolala)
Hamna Kitu Hilo Ni Garasa La M*v* Ya ♧Jamaa na mchele mchele uyo,
Mwanaume unawekaje bleach na kutoboa hereni?
Anyooshe TU maelezo, kua Ni kibenten wake uyoHuyu ajiandae kufulishwa Hadi pichu. Hapo bi joy kajiolea.
Hivo alivyo anaweza hata kumpa kibao kimoja cha kumkanya?
Ushubwada ndio nini?Mimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti 🤨
Kajipatia cheap labourHuyu ajiandae kufulishwa Hadi pichu. Hapo bi joy kajiolea.
Hivo alivyo anaweza hata kumpa kibao kimoja cha kumkanya?
Uzaramoni Tunasema Mjumbe NdiyoHuyu ajiandae kufulishwa Hadi pichu. Hapo bi joy kajiolea.
Hivo alivyo anaweza hata kumpa kibao kimoja cha kumkanya?
shida wanawake kama hawa huwa hata utamu hawanaHakika tunazidi kuamini Ma ex Hawaachani. Jokajeusi anazidi kuchukuwa point. Huenda hata wakati akiwa na hao wanaume pia huyo Ex alikuwa anakula mzigo kilaini tu
Kwa hiyo Joyce Kiria kaona huyu ndio bora zaidi kuliko wale wengine wawili wa mwanzo waliomuoa na kumuacha?Mtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu …. Ebu tuelewane hapa…. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
Watu wengi hawakujiandaa na social media kuna vitu vinatakiwa vibaki private tu.Joyce kiria shule ndogo inamtesa mama mzee anakumbatiana na kubusiana hadharani la si limbukeni nini?
Hapo hana furaha anafanya hayo kumuumiza ex husband kumbe mwenzake ka move on qlivo mjinga huyo Mario anamkutanisha na huyo baba akijifanya kuwanunulia vitu.
Joyce kiria ni mpu.mbavu sana wala Mimi niwe na watoto hafu naonyesha wanaume wengine ni very bad, poor innocent child.
well said dada.Mimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]
Yani ni aibu tupu Sasa kulana denda hadharani ni ujinga jamani, kwanza kibongo bongo ni uhuni tu, aachie mengine wazungu hafu eti mwanaharakati huku naye anatafta kiki ka za kina diamond huyu atapotea mazima, angekuwaga na shule kidogo Joyce kiria angekuwa mbali sana tofauti na alipo the more ana grow ndio anazidi kuwa mjinga aisee. Nawahurumia watoto angempa baba yao tuWatu wengi hawakujiandaa na social media kuna vitu vinatakiwa vibaki private tu.
Hakika tunazidi kuamini Ma ex Hawaachani. Jokajeusi anazidi kuchukuwa point. Huenda hata wakati akiwa na hao wanaume pia huyo Ex alikuwa anakula mzigo kilaini tu
Sema mimi nadhani amezungukwa na "Yes men" watu ambao wanakubali hata akifanya upuuzi. Kama angekuwa na watu wakam-monitor baadhi ya mienendo yake ingesaidia sana. Kuna baadhi ya vitu yeye kama mtetezi wa wanawake anavifanya havijakaa poa. Mwisho wa siku watu watampuuzia tu. Labda wale wajinga kama yeye wanaosupport tabia za ajabu kama hizo.Yani ni aibu tupu Sasa kulana denda hadharani ni ujinga jamani, kwanza kibongo bongo ni uhuni tu, aachie mengine wazungu hafu eti mwanaharakati huku naye anatafta kiki ka za kina diamond huyu atapotea mazima, angekuwaga na shule kidogo Joyce kiria angekuwa mbali sana tofauti na alipo the more ana grow ndio anazidi kuwa mjinga aisee. Nawahurumia watoto angempa baba yao tu