Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sio single mother bwana, kweli kwa level yangu Mimi sibebi ndoo bafuni bwana, Kuna shower tu huko unawasha maji ya moto au baridi, [emoji23][emoji23]hafu kuwa single kwani Mimi ni sister mkuu
Kumbe kuna mtu inabidi apinduliwe...okay
 
Mtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.

Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza

"Jamani msipotoshe watu …. Ebu tuelewane hapa…. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…

Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]

Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"

Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
kuna baadhi ya wanawake ni mfano mbaya kabisa kwa mabinti zetu. ningekuwa mzazi wa huyu binti wala nisingekuwa proud kuwa baba yake. the way alivyomwaibisha yule mume wa kwanza, na the way mkuki kwa nguruwe ulivyokuja kumrudia kwa kileo, ni fundisho kwa wanawake wengi. feminism is vandalism kabisa.
 
Pale unapokuwa na mwili wa bibi ila akili ya kitoto cha miaka 6!😅

Kwahio kusema huyo mpaka bleach ni EX wake na ameishi marekani toka miaka 20 iliopita ndio ina improve kitu gani katika hio situation😅?
Kajifunua Kuwa Miaka 20 Alikuwa Na Mitala
Yaani Ndiyo Sasa Eti Penzi Moto Moto
 
Haya makiki ya mapenzi yatamfanya aonekane malaya tu anayeharibu jamii, acheck wasanii waliozea kiki za kimapenzi sikuhizi watu wamewapuuza, ndoa ya tatu hii ina maana wanaume wote walikuwa wabaya na yeye malaika, Joyce a ahitaji mwanaume timamu wa kumu guide aache ujinga, she is old enough to act childish, sema umaarufu na kuweza kulipa bills Kuna mfanya ajione mkubwa
Nani abebe huyo kilaza joyce,labda afuge marioo
 
Mtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.

Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza

"Jamani msipotoshe watu …. Ebu tuelewane hapa…. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…

Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]

Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"

Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
Mpumbavu tu huyu, Mapenzi yana nafasi yake na Lazima Mwanaume na mwanamke wasimamie wajibu wao Bila Kutegea

sasa Kakubali vip na Wakati alikuwa anahubiri Chuki dhidi ya Wanaume, Jamaa akianza kumkosea atakuja tena Kuhamasisha Talaka

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Mimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]
Unapenda Mwanaume aweje na je Wewe, Huweki vitu Bandia Mwilini Mwako

samahani Sina maana kama Unaweka Basi ukubali wavaa Hereni laa hasha ila nimetaka kujua tu hayo Machache kama hutojali nijibu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom