Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna mtu inabidi apinduliwe...okay[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sio single mother bwana, kweli kwa level yangu Mimi sibebi ndoo bafuni bwana, Kuna shower tu huko unawasha maji ya moto au baridi, [emoji23][emoji23]hafu kuwa single kwani Mimi ni sister mkuu
kuna baadhi ya wanawake ni mfano mbaya kabisa kwa mabinti zetu. ningekuwa mzazi wa huyu binti wala nisingekuwa proud kuwa baba yake. the way alivyomwaibisha yule mume wa kwanza, na the way mkuki kwa nguruwe ulivyokuja kumrudia kwa kileo, ni fundisho kwa wanawake wengi. feminism is vandalism kabisa.Mtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu …. Ebu tuelewane hapa…. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
kama kileo pamoja na kulelewa alikimbia mazima na hajawahi kurudi pamoja na kwamba ana watoto pale, alikimbia nini, au ana meno yanang'ata.Jamaa kapigwa, Hamna MKE hapo[emoji4]
Bibie umeolewa? Kama bado njoo nikuoeWajinga kama yeye ndio watamuelewa ndoa ilivyo tam😋😋
UjanjaujanjaHamna mwanaume hapo..[emoji23]
Kajifunua Kuwa Miaka 20 Alikuwa Na MitalaPale unapokuwa na mwili wa bibi ila akili ya kitoto cha miaka 6!😅
Kwahio kusema huyo mpaka bleach ni EX wake na ameishi marekani toka miaka 20 iliopita ndio ina improve kitu gani katika hio situation😅?
Nimeolewa mkuuBibie umeolewa? Kama bado njoo nikuoe
Mwanamke mzima na akili zako unashauriwa na hii takataka si mambo ya kushangaza sana?Wanawake mliofuata ushauri wa Joyce, maisha yanaendeleaje huko mliko?
Kutinduliwa muhimuKumbe kuna mtu inabidi apinduliwe...okay
Njoo pm tuyajenge mtoto mzuriWajinga kama yeye ndio watamuelewa ndoa ilivyo tam[emoji39][emoji39]
Kunywa cocktail ya juice bili nileteweMimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]
Nani abebe huyo kilaza joyce,labda afuge mariooHaya makiki ya mapenzi yatamfanya aonekane malaya tu anayeharibu jamii, acheck wasanii waliozea kiki za kimapenzi sikuhizi watu wamewapuuza, ndoa ya tatu hii ina maana wanaume wote walikuwa wabaya na yeye malaika, Joyce a ahitaji mwanaume timamu wa kumu guide aache ujinga, she is old enough to act childish, sema umaarufu na kuweza kulipa bills Kuna mfanya ajione mkubwa
Mpumbavu tu huyu, Mapenzi yana nafasi yake na Lazima Mwanaume na mwanamke wasimamie wajibu wao Bila KutegeaMtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu …. Ebu tuelewane hapa…. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
Unapenda Mwanaume aweje na je Wewe, Huweki vitu Bandia Mwilini MwakoMimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]