Joyce kama binadamu mwingine nae ana moyo wa nyama unaoumia kwa pale mtu anapoaamua kukuchafua kwasababu zake anazojua yeye....
Lakini vile vile unapoamua kua kielelezo kwa jamii huna budi kua na uvumilivu pamoja na busara.
Eti anawatetea wanawake katika kipindi chake cha 'wanawake live', lakini hao hao wanawake anawatukana 'live'Huyu dada haelewi kuwa kipindi anachotangaza kina heshima yake ambayo anatakiwa kuitunza kwa gharama yoyote...
Sikutegemea kama anaweza kutoa matusi ya nguoni kiasi hicho...mbona anazidi kudhihirisha kuwa ukosefu wake wa elimu bado unamfanya asistahili kipindi kikubwa kama hicho
Ila na ninyi wanawake muheshimiane maana mtaringiaje kitu ambacho mmejikuta nacho bila hata ya kutolea wazo katika uumbaji wake....
Hivi ni Original accaunt au ni feki maana isijekuwa Tunatema Omo tu hapa kumbe siye.
Alikuwa anatumia swaga zako za kutema ung'eng'e wa Ki-Obama JF....Kala sana papuchi za mademu wenye shoboUmestukia eeh...?
Kwenye haya mambo ya social media ni rahisi sana kuchotwa na pia ni rahisi sana kwa wengine kuchukua identity za wengine.
Mi mwenyewe nishawahi kuambiwa kuna jamaa anajifanyaga ndo mimi huko kwenye magrupu ya Whatsap na kutokea totoz.
Dizaini jamaa anaona nina swaga kali za kuweza kupata totoz kali.
Alikuwa anatumia swaga zako za kutema ung'eng'e wa Ki-Obama JF....Kala sana papuchi za mademu wenye shobo
Umestukia eeh...?
Kwenye haya mambo ya social media ni rahisi sana kuchotwa na pia ni rahisi sana kwa wengine kuchukua identity za wengine.
Mi mwenyewe nishawahi kuambiwa kuna jamaa anajifanyaga ndo mimi huko kwenye magrupu ya Whatsap na kutokea totoz.
Dizaini jamaa anaona nina swaga kali za kuweza kupata totoz kali.
Una mfahamu?Alikuwa anatumia swaga zako za kutema ung'eng'e wa Ki-Obama JF....Kala sana papuchi za mademu wenye shobo
Nimecheka sana
Dada joy we ni jembe tena la ukweli, lkn hayo matusi makubwa waachie kina mange ambao akili imeshafwatuka, wengi tunakutazama kwa malengo chanya, ni mwanamke shupavu, so tunza heshima yako.
Joyce keshasema kuwa hataki ushauri wenu....naamini ataufanyia kazi ushauri wako na akubali alighafilika. tunaommpenda ni wengi kuliko wanaomchukia.
Ndo tabia zake hizo.Akaunti ya huyo dada ipo hacked au kuna mtu amefungua akaunti kwa jina la huyo dada. Tabia mbaya sana hii
Umeamua kufufua nyuzi zake? NyambafuHehehehe joyce bana
Umeamua kufufua nyuzi zake? Nyambafu
Unatujazia serverMtoto acha shobo
Mbona mnampa sana kiki huyu?
Yaan utadhan ni issue kuuuuubwa presidaaa kafanya....kumbe ni huyu kikqragosi...wanaume qcheni umbea fanyeni kaz...mkishindwa fanya siasa bas