Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

Mitanzania mipumbafu kweli, inashadadia sana mambo ya kipumbafu kuliko ya msingi
 
Anamatatizo ya akili uyo akapimwe muelisha watu kageuka mtukanaji she's sadist
 
Mi nilifikiri 2015 ni two years ago? Hii miaka sijui siku hizi inakwendaje?
Anamaanisha alishauriwa 2015 two years later (baada ya ushauri) mambo yamekuwa mambo...hajamalizia tu mwisho
 
Muda ni mwalimu mzuri sana...... Muda hua haudanganyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…