Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
whatthefurkareyoupeopletalkingabout?
what.the.https://jamii.app/JFUserGuide.are.you.posting.you.kirikou?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whatthefurkareyoupeopletalkingabout?
Kuna threads nyingi za Joyce humu jf, ebu pitia hii -Jana niliona picha yake akiliwa busu na mmewe afu kaandika kuwa watu wanapenda dyudyu na wameshanyegeka.
Siamini sana kama ni yake.
Ila sitegemei la maana kwa mtu aloanza kujiassociate na psycho mange kimambwi.
Cc: [MENTION=108619] DOMOKUBWA, carrie
huyu dada mwenyewe nimemuona pungu daah hajielewi aisee mana s
anajishusha sana
Yani, anajishushia heshima yake.
Halafu anajiona mjanja kuamdika mambo ambayo hayana staa na yana mshushia heshima..halafu huwa naona kama humsema mumewe kijanja..kwakweli nilikuwa namkubali sana Joyce Kiria lakini naona ana vuka sana mipaka sana!Yani, anajishushia heshima yake.
siku hizi nimemdharau sana baada ya kuanza kuingilia yasiyomhusu sijui anatafuta udada wa mjini
Amesema imekuwa hacked au una hisi?Akaunti ya huyo dada ipo hacked au kuna mtu amefungua akaunti kwa jina la huyo dada. Tabia mbaya sana hii
Halafu anajiona mjanja kuamdika mambo ambayo hayana staa na yana mshushia heshima..halafu huwa naona kama humsema mumewe kijanja..kwakweli nilikuwa namkubali sana Joyce Kiria lakini naona ana vuka sana mipaka sana!
Ulidhani Joyce Kiria ni mtu wa aina gani hadi umshangae? Rudia tena kusoma CV yake!!! Naamini utamwacha na yake.
Mimi nilitegemea atafute njia nyingine kuyaongea haya na si kwenye public page ambayo wanao soma ni wa rika tofauti!Ig alisema hawezi kuacha kumfikia mmewe akimfikisha.
So she was content kuwa ni yeye na wala hajafanyiwa mchezo wowote kwenye page zake
Sijamfollow though.
Naona watu wanashare posts zake za kingono ngono.

Mimi nilitegemea atafute njia nyingine kuyaongea haya na si kwenye public page ambayo wanao soma ni wa rika tofauti!
Anaweza akawa anaongea ukweli lakini muktadha sio mzuri na njia anayo tumia ni kama ana washauri wangine wachepuke...
Account ni yake kabisaView attachment 271811
Kuna watu wanampa kichwa basi na yeye anaona ni sifa kabisa...Utadhani dudu ameanza kuijua leo.Mxiiiuuuu
Acha dharau sababu kusoma sana sio kipimo cha busara
Kwenye red nakushukuru kwa kujua kuwa Redio inayo jishughulisha na mambo ya kimbea na ya kijinga ndio inaweza kukupatia huo umbea.Nimejaribu kupitia post za hii akaunti ya mtu anayejiita Joyce Kiria kwenye facebook lakini hizi post zinanipa wasiwasi kama kweli ni yeye kapost au ni mahasimu wake.
Ikiwezekana Clouds FM - Power breakfast (Babra Hassan, PJ na Gerald Hando) tusaidieni kumtafuta huyu mwanamama.
Ili kama si yeye anayepost kwenye hii akaunti aweze kuchukua hatua zinazostahili ili kulinda heshima na utu wake.
Halafu anajiona mjanja kuamdika mambo ambayo hayana staa na yana mshushia heshima..halafu huwa naona kama humsema mumewe kijanja..kwakweli nilikuwa namkubali sana Joyce Kiria lakini naona ana vuka sana mipaka sana!
Huyu amekosa staha na ni kupenda sifa za kijinga! Sijui anafikiri analo liandika watu hawalijui..! Mtu mzima akikosa staha ni aibu sana...mi siku hizi ananchefua sana kiukweli hata huyo mange na uchizi wake sijapata kumuona akiandika ushuzi ule...!!