Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Natafuta ile thread iyomsifia sana wakati mume wake ana kesi kule Tabora niangalie yale majina ya wachangia thread nilinganishe na wanaochangia hizi threads zinazomuhusu huyu dada kwa sasa. lazaima wafuata upepo hawatokosekana .
 
Hii kitu inaonyesha ni kiasi gani wanaume tumepungua kwa nafasi ya “UBABA” kwenye jamii lakini pia jinsi wanawake have failed in life values
 
Pia limekauka na ni chachu zaidi ya ukwaju
 
kama ni kweli kakidhalilisha mno kipindi chake... Dhana ya strong woman anayoihubiri kila siku iko wapi!!?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo tupo pamoja mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
na yeye ni binadamu km wengine,

hujui anayopitia/changamoto zipi,

behind the camera,ni binadamu na ana moyo wa nyama.
 
Atakuwa ameenda kupata ubuyu kwa ajili ya kipindi chake
 
Hii movie ya makonda sjui kamuandalia nan safari hii
 
Atakuwa ameenda pale Kwa sababu Za kiuanaharakati zaidi mbali na kuwa nae ni Mdau na mhanga wa mambo hayo!
Yamkini Hata Kama angekuwa bado ndoa Yake ingalikuwa imara bado angeweza kwenda Kwa sababu ya uanaharakati wa mambo ya wanawake!
I gess huenda yuko pale kwaajili hiyo Au ndo hivyo pengine amempeleka mtalaka wake kuhusu matunzo labda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…