Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Halafu ndio anajiita mwanamke wa chuma huku kujisimamia mwenyewe hawezi.
Wanawake wengi ni midomo tu ukiwaambia wasimame wenyewe utaona wanaanza kulia.

Kila siku wanafanya harakati ya kudai uhuru wao ilihali hawako huru kiuchumi.
Wana ndoto za ajabu sana hawa
 
Hakuna cha kuhisi hii issue is too political, mbaya zaidi ni kuwatumia watu ili kugain political momentum, kuna watu wa mwanzo tuliwasikiliza pale hakuna majibu wala muafaka umepatikana af sa hv anaongeza kingine
USHAURI WANGU ANGEANZISHA NGO KUSAPOT HAWA WATU IN ONE WAY O ANOTHER VINGINEVYO HAKUNA KITU, WENGI WATAISHIA KUSHAURIWA KUFUNGUA SHITAKA MAHAKAMAN MAANA YEYE HANA MAMLAKA KISHERIA KUMLAZIMISHA MTU ATOE MATUNZO YA MTOTO.
 
kama ni kweli kakidhalilisha mno kipindi chake... Dhana ya strong woman anayoihubiri kila siku iko wapi!!?
Ni swala la fursa ya Kick.....lazima awe midomoni mwenu, ndio kazi yake...sijaona tofauti na Sepenga
 
yupo na le kibamia

le kibamia mwnyw alikimbia marekani kuogopa child support af huku kujkuta mwanaharakat kwel
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

nye nye nye na kinamama
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
IMG_20180409_180208.JPG
 
Naona kampelekea Makonda Invoice ya 70%
 
View attachment 739220

Mwanadada Joyce Kiria ambaye pia ni mtangazaji maarufu wa kipindi cha Wanawake Live ni miongoni mwa wanawake waliofika leo katika kuitikia agizo la Mh. RC Paul Makonda linalowataka wanawake wote waliotelekezwa na waume zao wafike kumueleza matatizo yao.


Kumbe huyu demu anajichubua? Duh....kweli alikuwa na haki ya kutekelezwa.
 
Nadhani huyu Dada haitaji tu ushauri wa Kisaikolojia bali anahitaji pia ' Mkuyenge ' uliotukuka Kisaikolojia ili uweze kumuingia vizuri kwenye kila kona za ' Mbunye ' yake kusudi uweze kumtuliza vinginevyo naanza kuona kwa mbali kwa jinsi anavyohangaika hivi kuna Siku tunaweza kukutana nae barabarani huko akiwa uchi wa mnyama huku ' Mbunye ' yake yote ' ikitabasamu ' ama akitangaza Kipindi chake cha Wanawake Live au anaongea na Simu. Asaidiwe upesi tafadhalini hayuko sawa 100%.
Hiyo mbunye ulivyoitaja kwa midadi haki vile km uko dar sio wewe ni hali ya hewa imeleta mushkel kidogo kwenye maeneo ya kazi[emoji134]
 
Swala la matunzo kwa watoto yapasa wazazi wote wawili wawajibike.
Huyo tayar alishakuwa na brand yake jina lake tosha kuitunza familia yake si sawa na wamama wauza vitumbua hapo anaharibu jina la brand yake na haiba kipind cha wanawake live kilikuwa na ukomavu flan sasa yeye analialia hao wengine atawasaidia? Ana mahali pazur pa kuistir famili yake na aibu bado anahangaika kama wakina asha ndala ndefu
 
na yeye ni binadamu km wengine,

hujui anayopitia/changamoto zipi,

behind the camera,ni binadamu na ana moyo wa nyama.
Kujiita superwoman uwe umejipanga means changamoto kama hizo anauwezo wa kuzitatua sasa kamanda limemkabili anakimbia nini maana ya superwoman?
Anaharib brand yake watu wanatafuta sana ile nafas ya kujulikana ktk society ili wafanikishe na mipango yao ktk familia lakin yy daaa vurugu tu

Zaman miaka ya 2000 nlikuwa na msikiliza sana mama terry alikuwa strong hata ushaur akikupa huping hapo kwa sasa atamshaur nani ndoa yake tu kishaanika ktk media mapema
 
Back
Top Bottom