Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Natafuta ile thread iyomsifia sana wakati mume wake ana kesi kule Tabora niangalie yale majina ya wachangia thread nilinganishe na wanaochangia hizi threads zinazomuhusu huyu dada kwa sasa. lazaima wafuata upepo hawatokosekana .
 
Hii kitu inaonyesha ni kiasi gani wanaume tumepungua kwa nafasi ya “UBABA” kwenye jamii lakini pia jinsi wanawake have failed in life values
 
Wanasaikolojia wa ' Mwonekano ' wa Mtu huwa wanasema Sura ya Mtu pia huweza kukuambia jinsi umbile lake ' Ikuluni ' lilivyo kama ni tamu, chungu, baya au limekomaa kuliko na kwa Sura hii ya huyu Dada na nikiuchukua na huo Utaalam wa wanasaikolojia naweza kabisa kupata Picha ya Umbile lake la ' Ikuluni ' jinsi lilivyo baya na komavu mno.
Pia limekauka na ni chachu zaidi ya ukwaju
 
30084963_909833109199613_2211776293354078208_n.jpg
30084963_909833109199613_2211776293354078208_n.jpg
Mabinti wa kaskazini huwa wanamwonekano bomba.
 
View attachment 739220

Mwanadada Joyce Kiria ambaye pia ni mtangazaji maarufu wa kipindi cha Wanawake Live ni miongoni mwa wanawake waliofika leo katika kuitikia agizo la Mh. RC Paul Makonda linalowataka wanawake wote waliotelekezwa na waume zao wafike kumueleza matatizo yao.
kama ni kweli kakidhalilisha mno kipindi chake... Dhana ya strong woman anayoihubiri kila siku iko wapi!!?
 
Nadhani huyu Dada haitaji tu ushauri wa Kisaikolojia bali anahitaji pia ' Mkuyenge ' uliotukuka Kisaikolojia ili uweze kumuingia vizuri kwenye kila kona za ' Mbunye ' yake kusudi uweze kumtuliza vinginevyo naanza kuona kwa mbali kwa jinsi anavyohangaika hivi kuna Siku tunaweza kukutana nae barabarani huko akiwa uchi wa mnyama huku ' Mbunye ' yake yote ' ikitabasamu ' ama akitangaza Kipindi chake cha Wanawake Live au anaongea na Simu. Asaidiwe upesi tafadhalini hayuko sawa 100%.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo tupo pamoja mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
na yeye ni binadamu km wengine,

hujui anayopitia/changamoto zipi,

behind the camera,ni binadamu na ana moyo wa nyama.
 
Atakuwa ameenda kupata ubuyu kwa ajili ya kipindi chake
 
Hii movie ya makonda sjui kamuandalia nan safari hii
 
Atakuwa ameenda pale Kwa sababu Za kiuanaharakati zaidi mbali na kuwa nae ni Mdau na mhanga wa mambo hayo!
Yamkini Hata Kama angekuwa bado ndoa Yake ingalikuwa imara bado angeweza kwenda Kwa sababu ya uanaharakati wa mambo ya wanawake!
I gess huenda yuko pale kwaajili hiyo Au ndo hivyo pengine amempeleka mtalaka wake kuhusu matunzo labda!
 
Back
Top Bottom