Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Natafuta ile thread iyomsifia sana wakati mume wake ana kesi kule Tabora niangalie yale majina ya wachangia thread nilinganishe na wanaochangia hizi threads zinazomuhusu huyu dada kwa sasa. lazaima wafuata upepo hawatokosekana .