Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Huyu Dada something is not Okey kichwani kwake kama atakuwa hajanunuliwa....Nilimuona pia 'Levibamiz' wakiwa woote sasa sijui nae kazalishwa na nani...duh!
 
Huyu Dada something is not Okey kichwani kwake kama atakuwa hajanunuliwa....Nilimuona pia 'Levibamiz' wakiwa woote sasa sijui nae kazalishwa na nani...duh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyu dada ni bonge la mpumbavu! Kweli beki tatu kupewa exposure hayo ndo matatizo yake!
 
maskini huyu bi kizee wa watuu....
 
Huyu dada ni bonge la mpumbavu! Kweli beki tatu kupewa exposure hayo ndo matatizo yake!
Ila tuwe wakweli, huyu dada yaonesha wakati mbichi alikuwa hot sana, ni ngumu kumvumilia kama akiwa beki tatu enzi hizo.
 
Kuna Watu Walisema Amemuweka Mume Wake King'asti Halafu Leo Hii Anataka Msaada Kutoka Kwa Mumewe
 
Amekusikia, na kama hajakusikia anapaswa kusikizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…