Hapo mtatuharibia mazingira, mchukueni mkamtupe mars atakuwa msaada Kwa watafitiHa ha ha .....
Unamfunika na hypersonic missiles kabisa[emoji26]
Hili lapulapu, la nini, hana sura hana kalio, ni single mother, ni loserWakuu,
Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.
Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.
View attachment 2246071
Mtakuja kunishkuru.
Sasa hao ndio wanaomegwa na kuachwa kila kukicha.Ni aina ya wanawake waliojikatia tamaa!
Sasa nywele za milioni tano anamsukia nani? Kenge tu huyu.Unajaribu kumantain umaarufu huku akijidhalilisha tu.
Ile inayotumika sana Ukrain 'Stinger' kama sijakosea.Huyu sio wa risasi 7
Huyu ni wa missile launcher
Wanawake kama hawa ndio wanaochangia hata ndoa zetu kuwa katika hali ya hatari.Kuna wanawake wanafuata ushauri wa huyo zuzu .
Hao wote ni unstable ndugu, jamii tu ishindwe kutambuaWatu maarufu wengi Tz ni wehu sijui uyo ,sjui mwijako,sjui baba levo
Wakuu,
Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.
Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.
View attachment 2246071
Mtakuja kunishkuru.
HaswaaaHuyu ndiyo alikuwa beki tatu?
Wakuu,
Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.
Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.
View attachment 2246071
Mtakuja kunishkuru.
Eti anawaponda wanaume lakini bado anawategemea hadi nywele za kusuka?π πKuna dem nilikua na-date nae, ilikua inakaribia kidogo nifanye maamuzi ya kumuoa. Siku nilipogundua anam-follow Joyce Kiria na kushabikia post zake ndio nikampiga chini mazima... Mpaka sasa hajui kwann nilimuacha! Nashukuru Mungu kaniepusha na lile balaa...
Nimeshangaa sana superwoman anataka hata chumba cha kupanga alipiwe kodi. Akomae sasa yeye si supperwoman?Huyo mashabiki zake ni wanawake ambao ndoa zimewashinda sasa huwa wanakutana kwa page yake kutengeneza ushawishi kwa kila mwanamke kuwa ndoa ni kitu kibaya na kwamba wanaume ni wanyanyasaji hata akikugombeza kidogo usikubali dai talaka ni dalili ya ukatiliπ machoni wanajidai ma superwoman ila usiku wanalia na kujutia wanayo pitia
Huyu mwanamke ni kiraka anatafuta nguo ya kumziba.Supper womna anakuwa Tegemezi hivyo?? Sasa hawa akina Asha ngedere wa huku Mulimba nao watasemaje?
Aliupataje huo usupa?π π π π
Hakuna superwoman hapo huyo ni frustrated womanEti anawaponda wanaume lakini bado anawategemea hadi nywele za kusuka?[emoji28][emoji28]