Joyce Kiria ni aina na mfano wa wanawake wa kuwakwepa kuwaoa

Joyce Kiria ni aina na mfano wa wanawake wa kuwakwepa kuwaoa

Huyu msimchukulie siriaz sana🐒

IMG_20220531_205753.jpg
 
Wakuu,

Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.

Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.

View attachment 2246071

Mtakuja kunishkuru.
Hili lapulapu, la nini, hana sura hana kalio, ni single mother, ni loser
 
Mwanamke mzuri asiekuwa na akili..sehemu zake za siri ndio huumia ni kama serikali inayoongozwa na viongozi wasio wabunifu.wananchi wake wanavyoumia kwa tozo.
 
Wakuu,

Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.

Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.

View attachment 2246071

Mtakuja kunishkuru.

Ana roho mbaya kweli kweli
 
Supper womna anakuwa Tegemezi hivyo?? Sasa hawa akina Asha ngedere wa huku Mulimba nao watasemaje?

Aliupataje huo usupa?😅😅😅😅
Wakuu,

Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.

Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.

View attachment 2246071

Mtakuja kunishkuru.
 
Kuna dem nilikua na-date nae, ilikua inakaribia kidogo nifanye maamuzi ya kumuoa. Siku nilipogundua anam-follow Joyce Kiria na kushabikia post zake ndio nikampiga chini mazima... Mpaka sasa hajui kwann nilimuacha! Nashukuru Mungu kaniepusha na lile balaa...
Eti anawaponda wanaume lakini bado anawategemea hadi nywele za kusuka?😅😅
 
Huyo mashabiki zake ni wanawake ambao ndoa zimewashinda sasa huwa wanakutana kwa page yake kutengeneza ushawishi kwa kila mwanamke kuwa ndoa ni kitu kibaya na kwamba wanaume ni wanyanyasaji hata akikugombeza kidogo usikubali dai talaka ni dalili ya ukatili😄 machoni wanajidai ma superwoman ila usiku wanalia na kujutia wanayo pitia
Nimeshangaa sana superwoman anataka hata chumba cha kupanga alipiwe kodi. Akomae sasa yeye si supperwoman?

Kumbe huwa wanadanganyana.
 
Back
Top Bottom