Joyce Kiria punguza sifa

Joyce Kiria punguza sifa

Acha tusbirie.

Maana Kipindi chake itapote amuda sio mrefu.

Maana Hoyce Temu anafanya vizuri saana.
Na Kule Star Tv kuna mdada anakuja moto kweli.
Na Azam Tv wanakipindi kinakuja kuhusu jamii vile vile na vyote vinaendeshawa na wasomi.

Hapo ndio atajua umuhim wa Shule


Huwa namkubali sana Hoyce Temu tangu alipokuwa Miss, nilitokea kumpenda sana na hata sasa napenda vipindi vyake... She is my role model..
 
Watu kwa kujifanya wanawajua chimbuko la familia za wenzao. Hebu tuambie mama yako alikuwa nani kwa baba yako

Mama yake Danny greeny ni kigogo wa BOT na baba yake alikuwa anafanya kazi makao makuu ya CIA Marekan! sasa hvi kahamishiwa white house
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku nilimsoma mahali nikaona niaibu bora hata bongomovie
 
Huyu dada kipindi anaanza alikuwa vizuri lakini siku hizi anajifanya mjuaji mwanaharakati wakati harakati zenyewe hawezi amekuwa akifarakanisha ndoa nyingi.

Huku akiwashauri wanawake waachike kama yeye hana ushauri mwingine zaidi ya kuachika.

Dada amejifika vyeo ambavyo hana sifa navyo cha kushangaza ni hili la kwenda kumtetea Mange Kimambi hakuna asiyejua jinsi huyu dada anavyotukana watu kwenye blog yake.

Sasa leo hii Joyce anatoa wapi uhalali wa kumtetea au ndo kutafuta kick na kutaka sifa za kijinga.

Elimu ina umuhimu kumbe.

Ana sifa moja kuu kama ya kibajaji ELIMU.
 
Acha tusbirie.

Maana Kipindi chake itapote amuda sio mrefu.

Maana Hoyce Temu anafanya vizuri saana.
Na Kule Star Tv kuna mdada anakuja moto kweli.
Na Azam Tv wanakipindi kinakuja kuhusu jamii vile vile na vyote vinaendeshawa na wasomi.

Hapo ndio atajua umuhim wa Shule
na hakuna hata alompa airtime media zote za maana zimempuuza kakurupuka wamekashikisha adabu mtetea wanyonge ndo bingwa wa kubully wanyonge maajabu ya dunia
 
Yani ilo demu linafanya wanaume wote tuonekane wanyama,silipendi....
 
Back
Top Bottom