Joyce Kiria umezeeka ni vyema ukajiheshimu

Mwacheni bibi uyo anazeeka vibaya.... Ataanza kutembea uchi soon
 
Joyce ...tatizo lake ni ushamba mwingi na show of ...aya mambo yamitandao yanamchanganya sana ...sasa mtu unamiaka 50+ alafu bado ujitambui ni tatizo.
 
kumbe house girl ni house girl to hata umwendeleze vipi hawezi badilika aswaaa.
 
Kuoa kunahitaji umakini sana. Usipoangalia yanakukuta mambo kama ya sugu na kileo
 
Tatizo sio mbantu....!
 
Huyu bibi hawezi badilika, pepo lililomvaa ni baya sana anahitaji msaada wa maombi
 
kamanda ilikuwaje akaoa beki tatu/saga jiwe?!!!!!
 
Joyce ...tatizo lake ni ushamba mwingi na show of ...aya mambo yamitandao yanamchanganya sana ...sasa mtu unamiaka 50+ alafu bado ujitambui ni tatizo.
[emoji15] [emoji87] [emoji87] ni kwelu kagonga 50?
 
Mpaka 2020 watu watatembea na nguo za ndani kichwani subiri tu chezea stress wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…