Joyce Kiria umezeeka ni vyema ukajiheshimu

Joyce Kiria umezeeka ni vyema ukajiheshimu

mqdefault.jpg
Huyu kibibi kabisa!
 
Mumuache Dada wa watu,kisa tu kasema hataki marioo tena jamani au...amechoka kua father house huyu jamani.wanaume wajibikeni in short kasema yeye hataki kulea mwanaume tena....
 
wacha kumdhalilisha dada wa watu,kuzeeka huyo mkeo hatazeeka?
 
Huyo mzee anapenda mihogo acha kabisa.

Anakwenda kula mhogo anarudi SAA nane usiku akiwa chakali.

Kilewo akae kimya afungue mlango tu asihoji akihoji nchi nzima itajua.

Kumchamba atakwambia amepigwa huku akiwa na mekapu zake.

Kilewo hatarudia tena kuoa mchaga Wa hivyo!!!!!
 
View attachment 726108
Unapokuwa unapayukapayuka eti kuna wanaume wanakufuatilia, wakufuatilie kwa lipi kama siyo kukuchora tu?

Wewe umri huo sana sana utafuatwa na wazee na vijana wasiojiheshimu walioharibikiwa na maisha na au hawajielewi kabisa.

Kama umeshindwa kuiheshimu ndoa yako usijidhalilishe hivyo mitandaoni eti unafuatiliwa. Kuna wanaume washamba wanaopenda wanawake maarufu, siyo kwamba eti wanakupenda.

Wanachotaka ni sifa ya kutembea na wewe tu.Hebu utazame umri wako uliotukuka na linganisha na maneno ya kipopoma unayotamka.


Yeye kasema anafuatiliwa na wanaume, wewe kwa nini unabisha?
Sioni ttz hata kidogo, mtu na maisha yake.
 
Nilishangaa sana wakati anamdhalilisha mumewe kwenye tv.Heshima yangu kwake yote nikaivua.
 
Amechanganyikiwa, umri umesonga sana,,,,,,,,, hata akijiuza atakuwa ni wale malaya wa bei chee.
 
Back
Top Bottom