Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Muombe Mbowe akufundishe lugha ya kiungwana. Sio kila wakati anakufundisha lugha ya kihuni tu.M
Mawazo ya kijinga kabisa,njoo na we we nikuoe ufaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muombe Mbowe akufundishe lugha ya kiungwana. Sio kila wakati anakufundisha lugha ya kihuni tu.M
Mawazo ya kijinga kabisa,njoo na we we nikuoe ufaidi
Kimada ana uhakika wa ubunge mpaka aseme inatosha sasa.
Naamza kuamini wabunge wanawake wa chadema hasa wa viti maalum wanatumika kwa kazi maalum.kiongozi unakuwa muhuni muhuni?! je wale unao waoongoza watakuwaje?
Pamoja na kuwa mwenyekiti yeye ni mwanaume rijali..mwacheni afaidi banainasikitisha sana, kama mwenyekiti ndio anatafuna kondoo wake....je tukimpa nchii hii si atamaliza kila mahali.....huyu hafai hata kuaminiwa kupewa ubunge hai.
Mbowe ana miaka zaidi ya 18Habari wakuu,
Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.
Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.
Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.
Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.
Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa
Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?
Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.
Asanteni sana.
Duh naona sasa hivi mmetuamuliaInaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe
Nimeamini kwamba hawara ana umuhimu kuliko familia, Mtoto wa mbowe James kalala ndani kaachwa kupewa taarifa ila Chombo Joyce kapewa taarifa 😝 😝 😝 😝 😝Inaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe
Sasa ninafuga kuku ndani nikanunue vipaja au shingo mtaani wakati wa kushika na kuchinja au kunyonga wapo?inasikitisha sana, kama mwenyekiti ndio anatafuna kondoo wake....je tukimpa nchii hii si atamaliza kila mahali.....huyu hafai hata kuaminiwa kupewa ubunge hai.
Mwanaume rijali kuwa na mchepuko kawaida tuMakanda mambo haya wanayajua sana,lakini wapo bize kuichafua serikali
🤣 🤣 🤣 🤣Unamwonea wivu?